Showing posts with label darassa. Show all posts
Showing posts with label darassa. Show all posts
CHANDA CHEMA LYRICS BY DARASSA FT.MARIOO
tell me now what you do for the love
what you do for the love
give it up give it up for the love
give it up for the love
sijali unapakwa hina unapaka poda
fanya mambo yako nakungoja
moyo umeshataka me nafata order
huwezi kukata kiu maji kisoda
message sent shika kamata
kama unataka mapenzi yako hapa
chaka,chaka,chapa chapa
wakituona wanatapatapa
umeweka kambi maeneo haya
wanasema ua zuri limetoa pabaya
never die,never expire
tusichezee mapenzi yamoto fire
na kama mapenzi safari
me kwako nshafika napokwenda
au kama bahari oo basi nifunze kuogelea
naungekuwa mchezo usiwe kamari
au kubeba maji kwenye tenga
leo mbele yako nakula kiapo
walahi mie sina mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(chaa kuvikwa na pete)
walahi mie sioni mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(cha kuvikwa na pete)
walahi mie sina mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(chaa kuvikwa na pete)
walahi mie sioni mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(cha kuvikwa na pete)
tell me now what you do for the love
what you do for the love
give it up give it up for the love
give it up for the love
hii miba nachechemea for my woman
bahari nitaogelea for my woman
a real man care for the woman
na nnaweza kukosea kama human
nitakufanyia changes,
ntakupatia mapenzi
nitakutungia tenzi nikuimbie
nikusifie ,ujisikie uko na mie
sogea nikuambia
siwezi acha kiti chakomtu akalie
siwezi vunja moyo wako sitaki uumie
yes i do .i'm telling the truth
my heart and my life all i give it to you
na kama mapenzi safari
me kwako nshafika napokwenda
au kama bahari oo basi nifunze kuogelea
naungekuwa mchezo usiwe kamari
au kubeba maji kwenye tenga
leo mbele yako nakula kiapo
walahi mie sina mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(chaa kuvikwa na pete)
walahi mie sioni mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(cha kuvikwa na pete)
walahi mie sina mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(chaa kuvikwa na pete)
walahi mie sioni mwingine tena
(wakufanya nicheke)
na kama chanda we ndo chema
(cha kuvikwa na pete)
tell me now what you do for the love
what you do for the love
give it up give it up for the love
give it up for the love
shika kamata ...
yako hapa chapa chapa
wakituona wanatapatapa
(the mix killer)
never die never expire
tusicheze mapenzi yamoto fire
KAMA UTANIPENDA LYRICS BY DARASSA FT.RICH MAVOKO
Mrembo njoo tujenge malengo
Nikikutazama naona nyufa kwenye mjengo
Unaonekana kama mji wenye Upendo
Unafanana na mtu alochoshwa na mwendo
Si nikupe namba yangu unipigie weekend? (weekend, weekend baby)
Moyo unasema mchukue huyu mtoto yuko stendi
Vile anavyohema sio kama mtu hapendi
Anauelewa mziki anahofia kuucheza
Anasema na lugha chafu, ameshakuwa Kifimbo Cheza!
Sema nini na Marlaw nabembeleza
Kwa sera za Suma Lee nakula chungwa mpaka chenza
Ehee, shida kujiuguza
Mama you hot na uko ndani unaniunguza
Staki kujua, hata nikijua ntapuuza
Ukitaka kula bata uache kumchunguza
Aah! Kama utanipenda
Sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza
Katafute refa wa kukubeba
Na kama utanipenda
Sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza
Katafute refa wa kukubeba
You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh
(Eeh whatchu want?)
Nipe uchizi nidate
Hata nkilala kwenye usingizi nifate
(The way you talk mama)
You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh, baby
(Eeh whatchu want?)
Nipe uchizi nidate
Hata nkilala kwenye usingizi nifate
Hakuna single wala movie, mama kwangu you're my star
Mi shabiki yako nasimama hata ukikaa
Nahangaisha paa, breki ziko Dar
Jitazame kwenye kioo how beautiful you are
Mapenzi ukichaa, mapenzi uchizi
Uwe nacho ukikataa, mwingine inamnyima usingizi
Mwingine atakesha, mwingine atatesa
Mwingine atataka akutumie kama pesa
Yanajuana madini yakikutana
Mwanamke ntanyima tuzo na ndo kitu nachofanya
We utasema mi kichaa
Kumbe mwenzako nafata what I feel inside
Aah! Kama utanipenda
Sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza
Katafute refa wa kukubeba
Na kama utanipenda
Sitojali shida ulizobeba
Na kama unataka kucheza
Katafute refa wa kukubeba
You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh
(Eeh whatchu want?)
Nipe uchizi nidate
Hata nkilala kwenye usingizi nifate
(The way you talk mama)
You know I like you
Mi nakupenda and I give you what you want eh, baby
(Eeh whatchu want?)
Nipe uchizi nidate
Hata nkilala kwenye usingizi nifate
(Unataka nini mama?)
Usiniumizi moyo (waweza kupaa)
Mi niko loyal (uendeshe motor car)
Punguza uchoyo (nguo za kuvaa)
You're my everything for me (Na ukiwa out, oh whatchu want?)
(Waweza kupaa) baby
(Uendeshe motor car)
(Nguo za kuvaa)
(Na ukiwa out, oh whatchu want?)
You're my everything for me
You're my only one
HASARA ROHO LYRICS BY DARASSA
Ah kama unataka kiki kwa pikipiki
Mara black mara white vipi
Kama unatikisa kibiriti
I play no game I’m sorry rafiki
Ukija kama upepo utapepea
Ukijifanya una mapepo tunakemea
Kama unataka mchezo kawashe runinga
Siku hizi hakuna mtu anataka ujinga
Ujanja wa nyani mjini utaingia kingi
Meli inaelea feri inazama shilingi
Haraka na harakati zako za pimbi
Unataka kucheza wewe na ushike filimbi
Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati eh
Tuweke tuzo za wachukiaji
Bongo kuna watu wana vipaji
Utarusha madongo kwenye maji
Bora upige michongo utanipa midadi
Mara chenga mara no networki
Zigizaga vitu havieleweki
Life siku hizi imezidi kuwa complicate
Ukichanganya na mambo ya internet (jeraha)
Mwisho utatukana picha ukutani (jeraha)
Si atutafuti mchawi nani
Sasa chagua utajifungia chumbani
Au unatoka goma lipo uwanjani
Kushoto kulia juu chini kamatia
Mzigo wa abiria dereva dakia
Kichwa cha panzi alewe sifa kama pia
Situko serious we unatuactia eh
Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati
(eh na wakati eh)
Utasema nakudisi
Ila mi mwenyewe unanimix
Mengine ni madalansi na sura ya machungwa utajua vipi
Kuji switch switch
Nusu viatu mtu fifty fifty
Hujafai hutaki chai moja haikai mbili haifai we wapi una fit eh (eh)
MUZIKI LYRICS BY DARASSA FT.BEN POL
rudi utotoni,husipotembea ukibebwa mgongoni
too far far champion boy,
nite bwana samata eeeh
wanaota mapembe waongezee mkia
na ukinibip tunakupigia,
and let me make one thing clear,
blah blah blah sitaki kusikia
sio simba sio chui sio mamba eeh
ngozi yangu inatosha kujigamba eeeh
na sina maneno ya kwenye kanga
kazi juu ya kazi yaani bamba to bamba
mzaa unaweza kuzaa kizaazaa
sinzia na fegi uchome kibanda
kalale uwote ndoto zako za kitanda
si bado tupo macho mida ya wanga
funga mkanda kaza na kamba,
ama ufate nyaya uchane misamba
pasua miyamba pasua anga
tunasemanga chambua kama karanga
chorus
kesha na muziki,acha maneno weka muziki
ukiwa safi ukiwa up
ukiwa juu ukiwa chini piga muziki
ye eeeeh
safari na muziki acha maneno weka muziki
ye eeeeh
beba unachotaka na ukitaka kucheza cheza muziki
bambata,shika kamata
rumba sakata,
unapo come mchizi shadata
shadata aah
unataka kukimbia na huna break what do you expect
bongo bongo kwa tambo beki
cheza lokasa ya mbongo huwezi kumeki
watch yourself husije ukaji confuse
mzuka kuruka rege kwenye bluz
huna mchuzi ndio excuse
maisha yetu ya kila siku kama vile movie
vitu vingine havitakagi ujuwaji
utajikuta unatandikia watu jamvi
kusumbiria embe chini ya mnazi
kumuelewesha chizi utajipa kazi
funga mkanda kaza na kamba,
ama ufate nyaya uchane misamba
pasua miyamba pasua anga
tunasemanga chambua kama karanga
chorus
kesha na muziki,acha maneno weka muziki
ukiwa safi ukiwa up
ukiwa juu ukiwa chini piga muziki
ye eeeeh
safari na muziki acha maneno weka muziki
ye eeeeh
beba unachotaka na ukitaka kucheza cheza muziki
wanatamani tupotee kwenye map
unapeleka gheto tule tap tap
msaada toja na we don't stop
don't stop we don't stop x2
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
No matter where you go remember the road that will lead you home No matter where you go remember the road that will lead you home th...
-
kuthi hhuu! [feel pressure of the Air (Spirit)] Zonke ezam Xa zibuya uzozibona [When My squad returns you’ll see] Banomoya. [They a...
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...