NADEKEZWA LYRICS BY MBOSSO


hohoho hohoho
hohoho hohoho
salamu ulizonitumia zimenifikia
nipo salama hata husijali
nalishwa vitamu vinono najililiaa
ini yani angamiaa
penzi twadalikaa napo kidali
nimekusahau
nakumbuka tuu lako jina
kidogo angalau lengo mizizi sio kukatashinaa
penzi wakapanda dauu
mjini baba pesa fitinaa
vile ukanidharau
visentii haba mfuko umenichinaa
na ndo uwezo wangu ulipoishia
ningekupa nini tena
kula yangu ya kukupapasia
hukumeza ukatema
mi sina gari ngingekupa nini tena
(ooooo)
hukumeza ukatema

(chorus)
nadeke nadekezwa x3
nadeke x3(nadkezwa)
nadeke nadekezwa x2
nadeke

ndani ya masham sham mtoto kanikabili oh
hadi nakam kam kumina mbili alfajiri
naam nishamvisha nyota cheo
chake kikubwa cha mapenzi
kanijaza kanichoka kanishika pabaya
nakutaadharisha simu za usiku punguza
unahatarisha penzi langu moto kuunguza
ndani ya masham sham mtoto kanikabili oh

nisha kusahau nakumbuka tu lako jina
kidogo angalau lengo mizizi sio kukata shina
penzi wakapanda dau mjini baba pesa fitinaa
vile ukanidharau visenti habaa mfuko umenichina
nando uwezo wangu ulipoishia ninge pu nini tena
kula yangu ya kupapasia hukumeza ukatema
mi sina gari ningekupa nini tena oh
hukumeza ukatema

(chorus)
nadeke nadekezwa x3
nadeke x3(nadkezwa)
nadeke nadekezwa x2
nadeke
oh oh oh oh
  
About the song
Once Caught in love in a hard place, Mbosso now finds himself in peace freed from confusion and guilt as his so-called “ex girlfriend” attempts to find her way back to his heart in ‘Nadekezwa’.

‘Nadekezwa’ meaning ‘Im pampered’ is a Swahili love balled about a man who was once in love but taken for granted by his then girlfriend; but manages to find hope, love and peace in his new found relationship.
Written By: Mbosso
Produced By: AbyDad
Studio: Square Music

11 comments:

  1. Edit


    Hohoho hohoho
    hohoho hohoho
    salamu ulizonitumia zimenifikia
    nipo salama ata husijali
    nalishwa vitamu vinono najilia
    Biriyani ya ngamiaa
    penzi twadalika napo kidali
    nimekusahau
    nakumbuka tu lako jina
    kidogo angalau ungengoa mizizi sio kukata shina
    penzi wakapanda dau
    mjini baba pesa fitina
    vile ukanidharau
    visentii haba mfuko umechina
    na ndo uwezo wangu ulipoishia
    ningekupa nini tena
    kula yangu ya kukupapasia
    hukumeza ukatema
    mi sina gari ngingekupa nini tena
    (ooooo)
    hukumeza ukatema

    (chorus)
    nadeke nadekezwa x3
    nadeke x2
    nadeke nadekezwa x3
    nadeke ×2

    ndani ya masham sham mtoto kanikabili oh
    hadi nakam kam kumina mbili alfajiri
    naam nishamvisha nyota cheo
    chake kikubwa cha mapenzi
    kanijaza kanichoka kanishika pabaya
    nakutaadharisha simu za usiku punguza
    unahatarisha penzi langu moto kuunguza

    nisha kusahau
    nakumbuka tu lako jina
    kidogo angalau ungengoa mizizi sio kukata shina
    penzi wakapanda dau
    mjini baba pesa fitina
    vile ukanidharau
    visentii haba mfuko umechina
    na ndo uwezo wangu ulipoishia
    ningekupa nini tena
    kula yangu ya kukupapasia
    hukumeza ukatema
    mi sina gari ngingekupa nini tena
    (ooooo)
    hukumeza ukatema

    (chorus)
    nadeke nadekezwa x3
    nadeke x2
    nadeke nadekezwa x3
    nadeke ×2
    oh oh oh oh

    ReplyDelete
  2. woooow ...nyc song really love it...its top

    ReplyDelete
  3. Wimbo huu kama vile mwandishi ametunga special for me
    ..

    ReplyDelete
  4. Hii ngoma bora ya msani Mbosso..on replay..aky alinitungia ngoma huu

    ReplyDelete