Showing posts with label BARAKAH DA PRINCE. Show all posts
Showing posts with label BARAKAH DA PRINCE. Show all posts
SOMETIMES LYRICS BY BARAKA DA PRINCE
Ati ongeza sauti kidogo,
mateso ni moja ya yaliyo mapito yangu,
maumivu nimoja kati ya ngazi zangu
na hayazuie macho kupenda yakipenda,
alafu haikomi roho ata kama nilitendwa,
nachoamini ,nakuweka ah,
nisichopiga mimi,nakupenda
mwenzio najua mimi nakupenda,
sibishani na roho,silipigi hilo
sometimes i miss you,
sometimes i miss you
ACHA NIENDE LYRICS BY BARAKA DA PRINCE
verse 1
Ni vyepesi kufuata nyayo za upepo
kuliko kuukumbata aah
kujitoauwepo na kukupa thamani
ambaye ulishindikana
ilijulikana kwa kuamini
ungebadilika
na naamini ulilijua
kwa vile nilipenda
ikawa sababu ya yote ni kuyavumilia
malipo ya ule upendo
ikawa (pigo)
ikajutia nafsi yangu
ukawekeza chuki kwa moyo wangu
ikawa (pigo)
nakujutia uwepo wako
japo niliamini wewe ni wangu kwa kujipa imani
changu ni changu
dunia ya leo mapito labda
kesho ningeipata ile thamani
Chorus
acha niende utavumilia
utavumilia aah
acha niende mimi utavumilia
moyo utakusahau
acha niende utavumilia
wangu utavumilia aah
acha niende
utavumilia
moyo utakusahau
tuluuuu eii ee mhh ahh
tuluuuu eii ee mhh ahh
verse 2
heri ya mzigo wa punda
kuliko fundo la penzi
halibebeki
kwao ni sawa chipsi fungu
isiyo na hili ingewezekana wapi
sikujua we ngao msaliti
nawe mengi ulinificha
ndo maana mia
nikakupenda vile
hivi sababu ilikuwa ni nini?
ungeniambia eeh
mbona mengi nilitenda juu yako wee
ukalipa vile na
malipo ya ule upendo
ukawa (pigo)
ikajutia nafsi yangu
ukawekeza chuki kwa moyo wangu
ikwa (pigo)
na kujutia uwepo wako
japo niliamini wewe ni wangu kwa kujipa imani
changu ni changu
dunia ya leo mapito labda
kesho ningeipata ile thamani
Chorus
acha niende utavumilia
utavumilia aah
acha niende mimi utavumilia
moyo utakusahau
acha niende utavumilia
wangu utavumilia aah
acha niende
utavumilia
moyo utakusahau
ukitaka mali zangu nitakuachia
kila kitu nitakuachia
ata nyumba yangu wee
ila mwisho roho yangu utatulia
oh mali zangu nitakuachia
hata gari langu nitakuachia
moyo wangu mie niachie
Chorus
acha niende utavumilia
utavumilia aah
acha niende mimi utavumilia
moyo utakusahau
acha niende utavumilia
wangu utavumilia aah
acha niende
utavumilia
moyo utakusahau
NISAMEHE LYRICS BY BARAKA DA PRINCE FT. ALI KIBA
baby turuuh,
uhm-uhm-uhm
umh,nisamehe,
nisamehe..samehe,
ema the boy,
nisamehe,,,samehe,
bado nalilia upendo huu,
na moyo wangu unahisi niliumbwa kukupenda,
ili sijui nini kilichonitokea,
na haya kuwa malengo oh,
kuumiza roho ya mwenzangu,mi naogopa sana,
yote ni majaribu,bado ni yangu riziki moyo unasema,
naipata tabu ,husikumbuke mabaya,
kumbuka na mema,
mwanamke akipenda wee,
ujue kamaanisha ukweli,
anaweza kujiua wee,
ukicheza na hisia zake,
mola ninusuru we,nilichotenda si busara,
haikuwa haki kwake yeye,
naomba nijaribu ya mwisho nafasi,
na nimerudi,
ole-oh ole-oh ole-oh ole-oh
na nimerudi,
ole-oh ole-oh ole-oh ole-oh
naomba nisamehe,nisamehe,
(mwenzako mi nifanye nini?
nisamehe,
nifanye nini..... kwako wee,
nifanye nini ....nieleze,
nimerudi mama,)x2
hivi unajua wajua wewe,
kukupenda,
mpaka mimi sijielewi waah,
i want you back am sorry baby,
sina nilichopata,nilikotoka baby waah,
kero na mashaka tele,
ugomvi kutwa nzima
ata na mahaba zile.
siwezi nimetoroka,
nikakosa na maraha tele,
ya kwako nimekumbuka,
kudekwa na kubembelezwa,
ninapokasirika,
ole-oh ole-oh ole-oh ole-oh
na nimerudi,
ole-oh ole-oh ole-oh ole-oh
naomba nisamehe,nisamehe,
(mwenzako mi nifanye nini?
nisamehe,
nifanye nini..... kwako wee,
nifanye nini ....nieleze,
nimerudi mama)x2
nifanye nini ah mama
SIWEZI LYRICS BY BARAKAH DA PRINCE
verse 1
ulinipa donda ndugu,
donda ndugu ni ngumu kupona ila ,
siwezi sema sitopenda
nitamshukuru mola unajua,
umenipa maumivu sugu,
maumivu sugu yasiyokwisha yote,
sababu ya kukupenda we,
sitochoka kukuombea kwa mola,
akuzidishie,baraka ,
ata kukupenda wewe sichoki
najua kunipenda sio lazima ,
siwezi kuijenga chuki ,
maanake wajua ,
nilijipaje mwenyewe husije kunidhamini,
ila haukuwa na nafasi yangu wewe,
na mimi haukuwa fungu langu,
ah kungoja yote kwanini leo,
moyo wangu naupenda mie,
(chorus )
sitopunguza mapenzi,(nawe )
kukuchoka siwezi (nawe)
japo nimekosa penzi (nawe)
nitofariji moyo x2
verse 2 oh naumia sana moyoni we
umenipa msiba,msiba msiba bila kilio
umenivuta uzima ,
nikatoa machozi ka ya mtoto,
ata kama nikisema nipende kwingine ,
sina moyo moyo,
maana naona nitadanganya,
tatizo uliopenda ni moyo,
siwezi kubishana nao,
japo nafasi yangu kwako haikupatikana,
ila hongera kwa kuchukua usingizi wangu nashukuru mapema nilijua,
nipe nafasi yangu
wema sio makabila nimeamua,
kuwapisha wenzangu,
nakujipa imani moyo wangu ,
utakusahau wewe ,
haukuwa na nafasi yangu wewe,
na mimi haukuwa fungu langu,
ah kungoja yote kwanini leo,
moyo wangu naupenda mie,
(chorus )
sitopunguza mapenzi,(nawe )
kukuchoka siwezi (nawe)
japo nimekosa penzi (nawe)
nitofariji moyo x4
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
No matter where you go remember the road that will lead you home No matter where you go remember the road that will lead you home th...
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
kuthi hhuu! [feel pressure of the Air (Spirit)] Zonke ezam Xa zibuya uzozibona [When My squad returns you’ll see] Banomoya. [They a...