Kwingine sitamaani,
ila ahadi uliyonipa moyoni,
nahisi ni shetanii alonibadili mawazo kichwani...
mmmh -ona mapenzi ni mfano wa dini,
nimezama ni vigumu kutoka ona na kesha
ni kama bundi nikilala kuna kitu nakiota
(Umenipa upofu unahiiiidi mboni zangu Unaniumiza!!!
Ukanipa donda ndugu moyoni mwangu maumivu yalopitiliza)X2
(Mbona silali, kisa mawazo mwenzako sili, ona watoto nyumbani wanauliza wapi mumy?)X2 Ningekunywa pombe ili nipunguze mawazo
Lakini siweziii..., nahisi kama ndo nitanzidisha mawazo
kwa maumivu ya mapenzi!! ...to be continue
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
-
darling baby i have prayed for you and i know yes i know we can take it there s'thandwa sam i have prayed for you ndithandazile...
No comments:
Post a Comment