ONE TIME LYRICS BY RICH MAVOKO


Nipate kamba tuongee
Hata mbali twende
Nataka me nikueleze

mapenzi ni kitovu cha uzembe
Usilete mawenge utafanya wanizomee
Uwe mpogole mmakonde me nataka nikuoe

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time

Sikurogi na pembe
Me nataka unipende
Utamu wa peremende
Hasa za pwani na tende
Zile za unyama unyamani niwe kwako ndio ni jembe
Anitake nani kama hutaki niende

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time

Nataka tuongee tuongee oleba olebaba
Nataka tuonge tuongee olo babao
Nataka tuongee tuongee oleba olebaba
Nataka tuonge tuongee olo babao

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time
Nataka tuongee me na wewe, one time

Basi nipe one time.*2

(Piano Playing ...till fade)

No comments:

Post a Comment