RAHA JIPE MWENYEWE LYRICS BY LINAH
Siwezi tesa hisia zangu,
nikaumiza moyo wangu,
bora nibaki pekee yangu
imani sina ya radhi moyo wangu,
sina imani tena kushusu neno kupenda,
nishaimbiwa nikambiwa nakupenda
utashauri nini nione jipya kupendwa
maana mapenzi yale yale ni kuziguana
raha jipe mwenyewe eh
mwenyewe oh, mwenyewe eh
yaani raha jipe mwenyewe eh
mwenyewe oh, mwenyewe eh
sidanganyi husinichukulie poa,
sidanganyi utanioa,
kwanza kwisha unazigua
ninawajuaga mnakujaga kwa bwebwe,
au visanga mingi,mkipewa mnakimbia,
ya sungura na fisi mapenzi hayo mi sipendi,
ayaya kwa hiyo me nishajitoa,
sina imani tena kushusu neno kupenda,
nishaimbiwa nikambiwa nakupenda
utashauri nini nione jipya kupendwa
maana mapenzi yale yale ni kuziguana
raha jipe mwenyewe eh
mwenyewe oh, mwenyewe eh
yaani raha jipe mwenyewe eh
mwenyewe oh, mwenyewe eh
sidanganyi husinichukulie poa,
sidanganyi utanioa,
kwanza kwisha unazigua
ninawajuaga mnakujaga kwa bwebwe,
(raha jipe mwenyewe eh
mwenyewe oh, mwenyewe eh
yaani raha jipe mwenyewe eh
mwenyewe oh, mwenyewe ehx2
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
darling baby i have prayed for you and i know yes i know we can take it there s'thandwa sam i have prayed for you ndithandazile...
-
mnike yona mnike yona mnike yona Yhoo ndibulawa lilizwi lakho uyatshisa ndoda! mnike yona mnike yona mnike yona Yhoo ndibulawa ...
No comments:
Post a Comment