NISHIKE LYRICS BY CHRISTIAN BELLA


Kapinga wewe ,kapinga wewe,
oh mimi si unajua nakupenda,
chakula changu cha kila siku ni wewe,
nikila sishibi ,sikubali kabisa kushare na mtu,
kapinga mzuri,ukitoka watu wote macho kwake,
nikulinde vipi waisje nipora kapi -ih,
wenye nyumba mapesa magari wengi macho kwake,
nikufiche wapi ,oh baby,

Mpenzi wangu sura ya baby,
anapendaga kucheka kununa kwake noooo,
akikatika kidogo nadata namwita sherii,
akitingisha body napiga kelele,sherii,
sherii sherii sherii motema nangai,
sheriii sheriiii sherii bolingo nangaiii,
sherii sherii,sherii ostani longa,
sherii sherii,sherii *

nishike nikushike,nishike,
nishike nikushike,nishike,
(twende) kati kati katika,
kati kati katika mwa belle mwa mama,

bella bella eh,bella bella zambe,
cb obama milele mtoto wa mungu,
kuwa naye kapinga linamuuma,
kila siku ni maneno majungu na fitina,
eti mimi ninaye mimi sifai kuwa na yeye,
kila siku makelele jamani mimi na mimi,
wanataka niachane naye,watasubiri sana,

Mpenzi wangu sura ya baby,
anapendaga kucheka kununa kwake noooo,
akikatika kidogo nadata namwita sherii,
akitingisha body napiga kelele,sherii,
sherii sherii sherii motema nangai,
sheriii sheriiii bolingo nangaiii,
sherii sherii,sherii ostani longa,
sherii sherii,sherii *

nishike nikushike,nishike,
nishike nikushike,nishike,
(twende) kati kati katika,
kati kati katika mwa belle mwa mama,

kila kitu mamkusa (mamkusa)
watu wote mamkusa (mamkusa)
tutacheza  mamkusa (mamkusa ) 
kila kitu ni mamkusa (mamkusa)

patrick wa longo cheza taratibu,
apocalypse bella cheza taratibu
betty mazego,boss lady eh,
(nishike eh)

sherii sherii sherii
sherii sherii sherii
sherii sherii sherii
nishike nikushike,nishike,
nishike nikushike,nishike,
(twende) bet,man,simple the boy, 
 mwa belle mwa mama,





No comments:

Post a Comment