CHUMA ULETE LYRICS BY RAYVANNY
Nahisi nina bahati mbaya kipi nilicho koseya
Nikijaribu kutafuta shida ndo zinakolea
Mifukoni hali mbaya sio kama najitetea
Ile pesa ya kusuka mbona nilikuletea
Mawazo yani yananikolea
Nikupe nini usijepotea
Ndubura yani inanyong’onyea
Lilinde penzi lisije teketea
Vitunguu mboga za majani laki tano kwenye genge
Nyama tu nikupe million kwani unapika kenge
Si jana tu nimelipa pochi na doti za vitenge
Na si ndo juu ulivyojumua kama una duka mwenge
Chuma ulete we ni chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Kwani nakubadili jina ninakuita Chuma Ulete (x2)
Pesa sio nguvu za milundi kunyenyua jiwe juu chini
Tukitoka unakuja na kundi garama zote juu yangu mimi
Unanasa pesa kama gundi sasa mimi nitumie nini
Kila siku kushona kwa fundi kama mpambaji wa shuli
Eti nguva inaita mara mapande sita
Ushazali umeshika hakuna fashion inakupita eeh
Juzi ulikunja ndita wataka mchele tandi sita
Mama mbona unanitisha kwani unafotulisha
Mawazo yani yananikolea
Nikupe nini usijepotea
Ndubura yani inanyong’onyea
Lilinde penzi lisije teketea
Vitunguu mboga za majani laki tano kwenye genge
Nyama tu nikupe million kwani unapika kenge
Si jana tu nimelipa pochi na doti za vitenge
Na si ndo juu ulivyojumua kama una duka mwenge
Chuma ulete we ni chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Kwani nakubadili jina ninakuita Chuma Ulete (x2)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
-
darling baby i have prayed for you and i know yes i know we can take it there s'thandwa sam i have prayed for you ndithandazile...
No comments:
Post a Comment