NIMPENDE NANI LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ


chorus
nimpende nani nimpendee eeh
nimpende nani nimpende aah
nimpende nani nimpendee eeh
nimpende nani nimpende aah


verse 1
kwani nilikuwaga na mpenzi akanizingua,
hivyo nataka muezi kwa haya maradhi naugua
hisije siku miezi na akanisumbua,
ikawa tena kitenzi mzogo kuutua
naogopa sana vijana wa sasa kwenye mapenzi
wasijie wakanitenda,
nikazama na huba mapenzi ya kweli
wakaniacha wakaenda,
we si unajua wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndio balaa,
wengi ni wajanja watoto wa mjini wamejawa utapeli tamaa,
wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndio balaa,
wengi ni wajanja wa mjini nimpende nani,

chorus
nimpende nani nimpendee eeh
nimpende nani nimpende aah
nimpende nani nimpendee eeh
nimpende nani nimpende aah

verse 2
yasiwe kama ya wema sepetu kila siku magazeti
ajue nidhamu na mila ya kwetu mjuzi kupeti peti
usimtake ka uwoya ni mtemi ana hasira mpole kama jokate
ila sauti ka wema akiwa analia kicheko kama cha fetty
naogopa sana vijana wa sasa kwenye mapenzi
wasijie wakanitenda,
nikazama na huba mapenzi ya kweli
wakaniacha wakaenda,
we si unajua wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndio balaa,
wengi ni wajanja watoto wa mjini wamejawa utapeli tamaa,
wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndio balaa,
wengi ni wajanja wa mjini nimpende nani,

chorus
nimpende nani nimpendee eeh
nimpende nani nimpende aah
nimpende nani nimpendee eeh
nimpende nani nimpende aah

outro
kwani nilikuwaga na mpenzi akanizingua,
hivyo nataka muezi kwa haya maradhi naugua

No comments:

Post a Comment