KESHO LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ


{Chorus}
Mi nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
nataka kesho twende ukamuone mama x2

{Verse 1}
Kwanza kabisa ntanyonga Tai
T"shirt na Jeans ntatupa kidogo..
Unite Nasibu usiniite Dai
Asije kukuona muhuni akapandisha Mbogo...
Naukifika uagize Chai
Savanna Takila uzipe kisogo...
Kuhusu mavazi kimini haifai
Tupia pendeza ila za Hekima Logo...
Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2

{Chorus}
Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone mama x2

{Verse 2}
Usilete swaga za Nainai
Ukanyoa kiduku kama Moze Iyobo..
Eti shoping twende Tai
wakati Dadaangu anaduka kigogo..
Ukikuta Nguna usikatae
we zuga unapenda hata kama wa Muhogo..
Kuhusu kabila mbona Sadai
Mama angu hana noma hata kama Mgogo
Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2

{Chorus}
Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone mama x2

Mama yangu mama...
Mama Naseeb mama...
Mama Diamond mama...
Mama yangu nyumbani...
Mama Chali mama...
Mama Sepetu mama...
Mama Kidoti mama...
Kwa mama Diamond nyumbani...

No comments:

Post a Comment