BASI LYRICS BY OTILE BROWN


{Verse One}
Nahisi siko sawasawa kunakitu kinakosa
Kumbe leo sijamuona (I wonder if you feel the same way)
Basi naugua na siumwi, chakula kooni hakipiti na silali
Hata kwa dawa za usingizi (I wonder if you feel the same way)
Na macho yangu yanatamani kukuona, nafsi yangu inakukosa sana
Na moyo wangu najawa hofu na uwoga
Mali yangu wasije wakanipora
Na moyoni nakosa Amani sina, fikra zangu zinakwenda mbali kabisa
Ama jiji lishaa ninyang’anya we wangu
Ila niwie radhi kama nakuhukumu vibaya elewa yote kisa
Kisa mama

[Chorus]
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi (Ujue x6)
Ujue mama, nakupenda mpaka basi

{Verse Two}
Penzi langu unanihifadhia, heri ungekuwa sincere
Oh Je unaniwazanga, maana huku nakufikiria
Mi nakupenda kipimo sina, ni bora uwe macho
Usije niletea walosaza
Kukupenda jukumu langu, sheria kuu
Kwenye katiba ya penzi langu
Je uko uliko uko vizuri?
Mbona simu hushiki?
Hivi uko na nani, mnafanya nini? Wasi wasi ninao

[Chorus]
 
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi (Ujue x6)
Ujue mama, nakupenda mpaka basi

[Bridge]
 
Waadhi na wasaha ulionipa nazingatia
Ila nawe usije jisahau, ukashawishiwa
Na watanashati na washika dau… ukanisahau
Sije nisusa utaniacha na mengi…
Bana nitalia x8 nitalia mama

[Chorus]
 
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi (Ujue x6)
Ujue mama, nakupenda mpaka basi


No comments:

Post a Comment