HEWALA LYRICS BY LINEX FT CHRISTIAN BELLA

nikiwa nikiyatafakari mapenzi najiona kama nina hatia
niko kifungoni na machoni haunioni,x2

labda niliumbwa niwe bachelor,
nisiwe na mpenzi kwajela*x2

naweza kuigiza nakupenda,nikakufanya kiini machoni,
ukaamini nakupenda,kwa mwingine siwezi kwenda,x2

huwezijua kilicho nadani ya mtu,
kama unachoelewa sana*na mimi ningesema hewala,






No comments:

Post a Comment