Showing posts with label LINEX. Show all posts
Showing posts with label LINEX. Show all posts

HEWALA LYRICS BY LINEX FT CHRISTIAN BELLA

nikiwa nikiyatafakari mapenzi najiona kama nina hatia
niko kifungoni na machoni haunioni,x2

labda niliumbwa niwe bachelor,
nisiwe na mpenzi kwajela*x2

naweza kuigiza nakupenda,nikakufanya kiini machoni,
ukaamini nakupenda,kwa mwingine siwezi kwenda,x2

huwezijua kilicho nadani ya mtu,
kama unachoelewa sana*na mimi ningesema hewala,