GO GAGA LYRICSBY LAVA LAVA
Abbaa!
Ana jicho la kukonyeza na
Mikogo ka Shakira mmmh
Nyuma mkia pweza
Shepu Catarpilar Mechi tunazozicheza
Kitandani fundikila mmh
Ameniweza Napumua kwa mipira
Tenaa kiuno laini chuchu dodo dodo
Kitovuni kipini mtoto jojo jojo
Hafai dela kimini nyuma lojo lojo
Katoto ndizi maini yani sotojo tojo
[CHORUS]
Aaaah go gaga (ah eh)
Fanya kama unataga (ah eh)
Tuzivunje chaga (ah eh)
Ongeza mazaga zaga (ah eh)
Aaaah go gaga (ah eh)
Fanya kama unataga (ah eh)
Tuzivunje chaga (ah eh)
Ongeza mazaga zaga
Basi waonyeshe waone, waone
Basi waonyeshe waone, waonyeshe waone
Basi waonyeshe waone, waone
Busi waonyeshe waone, waonyeshe waone
Basi waonyeshe
Mungu alikumba kwa udongo
We mtoto fire (fire fire)
Utajinipa mazongo ukija retire (tire tire)
Eeh nizidishe uhondo stim za kaya (kaya kaya)
Sichulu ndondondo penzi lika pwaya (pwaya pwaya)
Unavyonichanganya manuva (iyee)
Kiuno spidi kama msuva (iye)
Kwako napona
Uhmm! Maajabu samaki nguva (iyee)
Mchezoni unavyo nifunga funga
Magoli ya konaa
Tena kiuno laini
Chuchu dodo dodo
Kitovuni kipini,
Mtoto jojojojo
Avae dela kimini
Nyuma lojolojo
Katoto ndizi maini,
Yani sotojo tojo
[CHORUS]
Aaaah go gaga (ah eh)
Fanya kama unataga (ah eh)
Tuzivunje chaga (ah eh)
Ongeza mazaga zaga (ah eh)
Aaaah go gaga (ah eh)
Fanya kama unataga (ah eh)
Tuzivunje chaga (ah eh)
Ongeza mazaga zaga
Basi waonyeshe waone, (iye yeah) waone
Basi waonyeshe waone (iye yeah) waonyeshe waone
Basi waonyeshe waone, waone
Basi waonyeshe waone, waonyeshe waone
Basi waonyeshe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
Be ka ntsentxa toronkong (it can land me in jail) bjala (alcohol) Be ka ntsentxa toronkong (it can land me in jail) bjala (alcohol...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
No comments:
Post a Comment