BOUNCE LYRICS BY VANESSA MDEE FT.MAUA SAMA & TOMMY FLAVOUR


Beautiful boy is that for sure
But baby girl is playing him like a toy
He's been in my bed
Sunday to Monday, Monday to Sunday

Maua Sama
Oyoyo, husinifanye mi ni poyoyo
Lengo lako girl
Niachane naye nenda zako hukoo

Vanessa Mdee
I want you to know, usije ukaniliza girl
Hisia zako zitakukandamiza no

Maua Sama
Girl you should know mi sio type yako
Hisia zako peleka kwako

Vanessa Mdee
Bounce alone, bounce alone
Only me can turn him on
Bounce alone, bounce alone

Vanessa Mdee
Tukiwaga wawili (na ye)
Nampa burudani (yeye)
Hakuna kuniacha mi (kamwe)
Yeyeyeyeye

Maua Sama
Tukiwaga wawili (na ye)
Nampa burudani (yeye)
Hawezi kuniacha mi (kamwe)
Yeyeyeyeye

Tommy Flavour
Vee Money baby, tell me my boo
Maumivu sawa kwangu katu
Njoo nikukabidhi moyo wangu
Nisije weka sinde kwa babu
Maua Sama umenidaka wavu
Sifurukuti sifui dafu
Ongeza vitamini nitoke sharp
Ili wajue the way I love, the way I
Mmm mami iyooo

Maua Sama
I want you to know usije ukaniliza girl
Hisia zako zitakukandamiza no

Vanessa Mdee
Girl you should know mi sio type yako
Ushauri wako peleka kwako

Vanessa Mdee
Bounce alone, bounce alone
Only me can turn him on
Bounce alone, bounce alone
(Don't call me ever again)

Vanessa Mdee
Tukiwaga wawili (na ye)
Nampa burudani (yeye)
Hakuna kuniacha mi (kamwe)
Yeyeyeyeye

Maua Sama
Tukiwaga wawili (na ye)
Nampa burudani (yeye)
Hawezi kuniacha mi (kamwe)
Yeyeyeyeye

Vanessa Mdee
Tell me boy, unitumie tumie kwako niwe kifaa
Tell him don't bother, hao vilaza
Wenyewe kusudi nikuache we
You gonna let him know
When you do me like this
Napatwa na goosebumps ****
Oh yeah, tamu lako penzi
Kwako wanapita njia hey

Maua Sama
When you do me like this
Napata na goosebumps ****
Oh yeah, tamu lake penzi
Kwako wanapita njia yeyeyea

Vanessa Mdee
Bounce alone, bounce alone
Only me can turn him on
Bounce alone, bounce alone

Vanessa Mdee
Tukiwaga wawili (na ye)
Nampa burudani (yeye)
Hakuna kuniacha mi (kamwe)
Yeyeyeyeye

Maua Sama
Tukiwaga wawili (na ye)
Nampa burudani (yeye)
Hawezi kuniacha mi (kamwe)
Yeyeyeyeye oooh

M-A-U-A Sama
Mmm Vee Money on the track!


No comments:

Post a Comment