We mama wakufikia husimzalishe baba,x2
Kiatu kimefumuka kimefumuka fungu fumux2
We mama mdogo mwonee huruma baba,
Unataka babucha (eh babucha)
We mama mdogo mwonee huruma baba,
Kila zuri analofanya baba mama unapiga,
Yote ya dunia sote tunapita,
We kenua eh eh eh eh
We kenua oh oh oh oh
We kenua oh oh oh oh
(We kenuax2)
dawa yako inachemka,x2
dawa yako inachemka,x2
unapenda mfuko kuliko mapenzi ya ndani ya moyo
unajifanya huoni hadi nirudi mpaka moyox2
ai yo yo x2 naendea msaada mie
ai yo yo x2 nikavunje ngazi mie
ai yo yo x2 naenda kwa baba mie
ai yo yo x2 nikavunje ngazi mie
mhn,ningependa we ujue ,hii dunia ina mwisho,
ukipenda upende kweli husiwe unapenda mfuko
tena ukae utambue,kila mtu ana moyo na roho
unavyofanya si vizuri mtu mzima wewe ,
baba we x2 wanao tumeshaona,
we baba x2 mwenzako atakuua x2
nakonda kama pundamilia,nachapwa naishia kulia,
bila sababu nanyimwa chakula ,baba unaangalia
mama wa kambo anapika kama mgambo,ah ah,
(pili jina langu linafifia,oh oh ,
mama ananiita kinyoka mdimu)x2
anatamba kwa rafiki zake,
anasema ye gusa unase,eh eh
na kuna mengi anaongea,
umri wako anaujua anasema anafuata uridhi,
eh baba wanao sisi tunaonewa
umri wako anaujua anasema anafuata uridhi,
eh mama wa kambo,
unapenda mfuko kuliko mapenzi ya ndani ya moyo
unajifanya huoni hadi nirudi tena mpaka mwanzo
unapenda mfuko,unajifanya huonix2
No comments:
Post a Comment