NIROGE LYRICS BY VANESSA MDEE
verse 1
mh ,furahia nyuma mwanaume,
wacha nikutunze, nyumba yetu tuipambe,
eh hapo nyuma tukishidiaga mabwede,
karanga na makade,duruda ugali dona sembe,
(chorus)
husinune kwa maneno ya majira ni wadogo,
hawaishi dogo dogo, ni maneno kama viroboto,
wanakesha wakiomba unichapage mkong'oto
jameni mi sielewi baby you are,
ukimwona furaha tele moyoni,
nikimwona tabasamu usoni,
naomba uniroge x3
(kwani mapenzi matamu)
naomba uniroge x3
verse 2
siku hizi ,we mwana umeguzwa ,
ulishinda na vikwazo ,tangu mwanzo,
ilipambana nawe hela uwe nazo ili niwe mali yako,
leo kula vyako, you are my dream, in my life,
ata me moyoni we ndio unanifaa,
(chorus)
to te left side to the right,
(my love),kwani mapenzi matamu x2
(chorus)
to te left side to the right,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
-
Be ka ntsentxa toronkong (it can land me in jail) bjala (alcohol) Be ka ntsentxa toronkong (it can land me in jail) bjala (alcohol...
No comments:
Post a Comment