ZIGO REMIX ( NAKULA KWA MACHO ) LYRICS BY AY FEATURING DIAMOND PLATNUMZ



Picha ninaanza nshadata
Picha ninaanza shawaka
Picha ninaanza nshachanganyikiwa
Picha ninaanza nshadata

Ona, kweli mie amenikamata
kwa jinsi navyomwangalia
akinipatia nami sitamwacha
kwa nyuma ananipa mineso
moyoni ananipa mateso
wa kishua ila matendo ya gheto
mtamu na hapendi vya dezo
nakula kwa macho
five star girl sio mchezo
ebu ona, ebu ona
kweli mie amenikamata
kwa jinsi navyomwangalia
akinipatia nami sitamwacha


Ana rangi fulani ya kimanga
lugha lafudhi ya kitanga
songea kapita na kanga
nyuma figisu majanga
Anamwendo wa kung'onya
Tena alivoshona umbo Kama katuni wa kuchora
Singida Dodoma kitandani sodoma
Kiuno Kama nyuki dondona
maneno ya watu, sumu yanagira
wasije leta referee ka mpira
chunga katu  usije ukanzira
kashikwa na uchizi yani utagira

Mtoto yani mukirii mukiree
Mpaka ndani shigidi shigidee
hasa akilikidi likide
yeye ndo mama chibudi chibude

kweli mie amenikamata
kwa jinsi navyomwangalia
akinipatia nami sitamwacha

(Too se ,Too sexy yah man
bouger bouger ya man
Mungu ameumba hapa yah man
Natamani nikaseme naye yah man) X 2
Naamini amezaliwa ili mimi niwe naye
mpaka sasa nimechanganyikiwa
mpaka yeye awe nami

Mtoto yani mukirii mukirre
Mpaka ndani shigidi shigidee
hasa akilikidi likide
yeye ndo mama chibudi chibude

Nahisiamezaliwa ili mimi niwe naye
mpaka sasa nimechanganyikiwa
mpaka yeye awe nami
iwe iwe iwe
iwe iwe i ndoto
nitampa utam yule binti
kisa nikikaa na wengine wanachukiza
shika leke diki ya man
ngoja niongeze bidii yah man
ukute hili zali langu yah man
nikapige masinemaree yah man
sheyatch!! Eh!!
(Nakula kwa macho
kwa macho )X3

kweli mie amenikamata
kwa jinsi navyomwangalia
akinipatia nami sitamwacha
 





No comments:

Post a Comment