EQUAL RIGHTS LYRICS BY ISHAWANA

I just got started
Wha' you think one round can do?
Bumper to your forehead
Show me wha' your tongue can do
If you no have it inna waist
You better have it inna face
Bright enough fi a look gyal fi shine you
And you no waan taste?
You have a clean mouth and your lips dem sexy
Treat me like a bottle a Pepsi
Your back nah no use and your face look cute
Deal with me like a bag juice
Me say, equal rights and justice
Nuff ignorant people a go cuss this
Me pussy tight, cut up your cocky like cutlass
But if you waan head, my youth, you haffi suck this
Bwoy, me nah go compromise
Me waan feel how your head feel between me thighs
Me waan look inna your dreamy eyes
When you a chew 'pon me pum pum like french fries
You never hear 'bout foreplay?
A modern times now, boy, relax, it's okay
If me ever bring it up inna the group chat
You get the threesome for your birthday
Cah you have a clean mouth and your lips dem sexy
Treat me like a bottle a Pepsi
Your back nah no use and your face look cute
Deal with me like a bag juice
Me say, equal rights and justice
Nuff ignorant people a go cuss this
Me p*ssy tight, cut up your cocky like cutlass
But if you waan head, my youth, you haffi suck this
Me love it when the man dem brave up
Cah nuff man have them good tongue a save up, hmm-mmm
That me like, when you eat me right
When you do it, me galang outrageous
Put your lips 'pon me clit, make me gear up
Let out your inner freak, no bother cage up, hmm-mmm
That we like, when you eat we right
When you do it, we galang outrageous
You have a clean mouth and your lips dem sexy
Treat me like a bottle a Pepsi
Your back nah no use and your face look cute
Deal with me like a bag juice
Me say, equal rights and justice
Nuff ignorant people a go cuss this
Me p*ssy tight, cut up your cocky like cutlass
But if you waan head, my youth, you haffi suck this
Hmm-mmm
Me no 'fraid a nobody
And when me a talk, me no care who no like me
Me shave up me body
Me drink me pineapple juice nightly
Me take care a me body
So him supposed to nyam me nightly
Me no 'fraid a nobody
Who no like me, dem fi bite me!
Cah you have a clean mouth and your lips dem sexy
Treat me like a bottle a Pepsi
Your back nah no use and your face look cute
Deal with me like a bag juice
Me say, equal rights and justice
Nuff ignorant people a go cuss this
Me pussy tight, cut up your cocky like cutlass
But if you waan head, my youth, you haffi suck this

HASARA ROHO LYRICS BY DARASSA



Ah kama unataka kiki kwa pikipiki
Mara black mara white vipi
Kama unatikisa kibiriti
I play no game I’m sorry rafiki
Ukija kama upepo utapepea
Ukijifanya una mapepo tunakemea
Kama unataka mchezo kawashe runinga
Siku hizi hakuna mtu anataka ujinga
Ujanja wa nyani mjini utaingia kingi
Meli inaelea feri inazama shilingi
Haraka na harakati zako za pimbi
Unataka kucheza wewe na ushike filimbi

Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati eh

Tuweke tuzo za wachukiaji
Bongo kuna watu wana vipaji
Utarusha madongo kwenye maji
Bora upige michongo utanipa midadi
Mara chenga mara no networki
Zigizaga vitu havieleweki
Life siku hizi imezidi kuwa complicate
Ukichanganya na mambo ya internet (jeraha)
Mwisho utatukana picha ukutani (jeraha)
Si atutafuti mchawi nani
Sasa chagua utajifungia chumbani
Au unatoka goma lipo uwanjani
Kushoto kulia juu chini kamatia
Mzigo wa abiria dereva dakia
Kichwa cha panzi alewe sifa kama pia
Situko serious we unatuactia eh

Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati
(eh na wakati eh)

Utasema nakudisi
Ila mi mwenyewe unanimix
Mengine ni madalansi na sura ya machungwa utajua vipi
Kuji switch switch
Nusu viatu mtu fifty fifty
Hujafai hutaki chai moja haikai mbili haifai we wapi una fit eh (eh)

ZEZETA LYRICS BY RAYVANNY




Download audio 



Baby mooh nifanye big G unitafune
Ama niwe sindano nawe uwe uzi nguo nifume
Ama niwe ndoo uwe maji yangu unawanume
Nifanye kucha kama ukiwasha mi nikukune sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikiku beep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta
Mama sitaki paka na panya vita za nyingi
Mi nataka niwe mafuta ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini ukioga ninakufuta
Kutoka juu mpaka kwa chini mashallah
Ulivyo mwenzako taabani naishi muchumba siendi varandani
Tena sikufanyi vocha soko dukani
Nikutumie muchumba nikutupe jaralani sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikikubeep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta (x2)
Mashilawadu wana nyapia nyapia
Mashilawadu wana nyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu kwa kudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupagazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuwa makini mama eeh eeh

NOBODY UGLY LYRICS BY P -SQUARE


No no na eh
Nobody ugly o

****************
**************** (Nobody ugly o)
****************
****************
**************** (Nobody ugly o)
****************
****************

If you they use your time for instagram (Amaka)
You fine or you no fine (Adiamacha)
But for reality i see you girl you baddam
na who you they decieve eh
**************************
**************************
**************************
Nwanne, na who you they decieve eh

As you they for twitter your name for insta
sexy bootilicious twista eh
why you too they lie eh eh eh
when nothing they to they shake o
where the waste o
As you they for twitter your name for insta
sexy bootilicious twista eh
why you too they shy eh eh eh
when you no say you fine

****************
**************** (Nobody ugly o)
****************
****************
**************** (Nobody ugly o)
****************
****************

you go for window,shopping take a selfie chakam
you post am up they tag your maga gbagam
you they there they form ikoyi when you they ipaja
chai, na who you they decieve o eh eheh
You see G Wagon Chakham
you they big man show Chakam
even you they for toilet Chakam
Snapchating video chakam
Olo lo lo o o o
Na wetin be this eh
na disease oh

As you they for twitter your name for insta
sexy bootilicious twista eh
why you too they lie eh eh eh
when nothing they to they shake o
where the waste o
As you they for twitter your name for insta
sexy bootilicious twista eh
why you too they shy eh eh eh
when you no say you fine No be lie o

Wanbegunu
Wabegunu
Weliya
chaliya
oko ara beauty gbeke

SHOW ME LYRICS BY HARMONIZE AND RICH MAVOKO


DOWNLOAD AUDIO

Verse 1 (Harmonize).

Ai mwenzako I feel so Good, kipindi nikikuona /

Au Huo Mwendo Unafanya kusudi na  Ulivyoshona /
Wakati Unakwenda au unarudi  wakata Kona /
Nyuma Ka Katuni za Masudi UlivyoNona./
Hivi Unapenda wa Vifua ka Roboti ama Sanamu /
Au wazee wa Kununua Mwaga Noti akina Salamu/


Chorus

Ooooh Anita macho kama unaniita, aaah  saa Sita

shepu kama Vera Sidika aaah
Anita Macho kama Unaiita , Aaah saa Sita Shepu Vera..
aaah Show Me , Show Me, Show Me.... ( Unavyodance) (Waonyeshe Unavyodance).


Verse 2 (Rich Mavoko).

Umenifinyanga kama Dona, Mmakonde na Ndonya /

Kama Mpira  Maradona, Kichuya Kona /
Na wakisema Na mawenge, Waambie Werrason/
Wakiringisha Peremende, Nitakugawia koni /
Chunga Kipenzi Majaribu, Mabaya sana Oooh /
Nawewe Ndo Dokta wa Kunitibu, Niwe Salama Ooooh /.


Chorus.

Oooh baby Anita macho kama Unaniita aaah

Saa Sita Kiuno ka Yondo Sister aaaah
Anita macho kama Unaniita aaaah
Saa Sita Kiuno ka Yondo Sister


Ahh Show Me, Show Me Show Me (Unavyodance) (Waonyeshe Unavyodance).


Outro(Both).

Asa Mombasa Nairobi (Sakata Dance)
Kampala Kigali (Sakata Dance)
Zimbambwe Kwatobi (Sakata Dance)
Naija Somali ( Toto Sakata Dance)
Wanangu wa Panya Road (Sakata Dance)
Chaukucha kwa Sadali (Sakata Dance)
Na Unyamani Biomi (Sakata Dance)
Kizonga kwa Natali (Toto Sakata Dance)
Aaaah .... aaaah  .... aaaa... (Unavyodance)  (Waonyeshe Unavyodance)

ACHA NIKAE KIMYA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ

alau nina kidogo na mashabiki wananiambia mbona hausemi chochote
Ah, si uko nao siku zote  ama ulezi unafanya uogope
Ah na media pande zote wanalalama kiongozi atoke
Ah nchi inaingia matope niende wapi na mimi mtoto wa wote,
Yaani lawama, acha nikae kimya, niongee, kimya (ooh ninyamaze mimi)
Nikae kimya nisemee (kimya)  mama kaniambia (acha nikae kimya)
Ooh nifunge m[u]domo, mimi bado m[u]dogo nisiseme (kimya)

________________________________________

VERSE

Ni mengi majaribu najaribu kuepuka yasije nicost
Japo mengine swadakta mengine hayana maana
Rafiki kipenzi wa karibu hata nyimbo yake sikuweza ipost
Ila alipokamatwa iliniumiza sana mitandaoni kila kona
Uongo na ukweli unashonwa kila nyumba inanong’ona, ahh, ooh Tanzania
Mara kimbembe Dodoma wabunge pinzani wamegoma juzi akapotea na Roma
Ohh Tanzania
Najaribu kunyamaza Makame hataki ohh ananiambia walau nina kidogo
Nyumbani nafungwa geti niende kwa Mangi kununua super gate
Napewa za chini ya kapeti kuna redio imevamiliwa eti
Ehh, napita kwenye magazeti nakuta lundo la watu wameketi
Ehh badala ya kutafuta senti wanabishana tu mambo ya vyeti

______________________________________

Acha nikae kimya (nisiongee ) nikae kimya (ninyamaze kabisa)
Nikae kimya (ulimi koma) kimya (usije kuniponza) acha nikae kimya
(nifunge bakuli langu) nikae kimya (nikojoe nikalale) kimya
Mimi bado mdogo sana mama kanimbia

________________________________________

BRIDGE

Najiuliza wapi (wapi) najiuliza wapiii, tunakwenda wapi
Wapi, kila siku maneno, wapii, hatuwajengi jamaa
Mimi na wewe ni taifa moja, Kambarage baba mmoja
Sasa tofauti za nini tushikamane tukaijenge Tanzania

NIKUMBUSHE LYRICS BY BAHATI AND RAYVANNY


DOWNLOAD SONG

PAKUA WIMBO

(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2


Leo nyota imeng'aa
nasahau nilikotoka
naidharau mitaa
na mateso niliyosota, aie
ndugu zangu kinyaa
mafukara wananichosha
niache wafe na njaa
nijisifu nitawanyosha eh


sili kwetu kisumu bondo,
chakula haina swaga,
sitaki kula chapo dondo
nataka pizza na buger ehh,

uniepushe maulana nisiishie njiani,
unikumbushe ya jana, kesho nipe dhamani
kwenye maisha ya muziki, ukiwa na uendo utaishi
Timu hazijengi urafiki, tusije kuuana kwa kugombania viti
eti nimuache mama kwenye dhiki, kisa mambo yangu yametiki
akipiga simu siishiki, nikipokea nimwone kama shabiki

(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2

nimejawa na kiburi, ukweli haupo nami,
alionifunzage dini mama, simwiti mummy,
roho imejawa na uhuni, star najiona mi
nikipita na kagari vumbi , natupia wadhee
niwe kama peter, kumkana yesu mara tatu nikumbushe
niwe kama jonah, kukataa kutumwa nineveh nikumbushe
ah mwanabujah alionipa suporti, namtusi ilimradi iwe kiki
walionipa jina mashabiki leo, nawaona wanafiki

(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2