NYANG'ANYANG'A LYRICS BY ASLAY
Ai yooo Ooh yeah
Ooh yeah wewe
Wewe Baby pole pole,
Usije nitesa nafsi
Kuku nipe mchele, mahindi ngedele
Usije niacha basi Mmmh, mpaka majogoo,
Kitandani ni mafunzo ya ki Commando
Nipe mama nipe nyumba na choo
Hongera umevua pekee bila chambo
Wanapata taabu wanavyoona tunapendana
tunawapa adhabu mpaka maji
wanaikama mama ma
Umeniweza nyang'anyang'a (aiyo)
Nyang'anyang'a beiby ooh
Sijateleza nyang'anyang'a (wouwo)
Mi kwako nyang'anyang'a (mpenzi njoo)
Umeniweza nyang'anyang'a (aiyo)
Nyang'anyang'a beiby ooh
Sijateleza nyang'anyang'a (aah)
Mi kwako nyang'anyang'a
Sasambu sasambua
Ukimaliza kupika kazi yangu kupakua
Ukimaliza kufua kazi yangu kukamua
Ukitaka muwa, naumenya nakugea unakula
Oooh, uchungu wangu unaujua wewe
Uchungu wako naujuwaga mimi mwenyewe
Pilika pilika za kuku na mwewe
Adui ndo inazo walazi wasitusumbue
Wanapata taabu wanavyoona tunapendana
tunawapa adhabu mpaka maji
wanaikama mama ma
Umeniweza nyang'anyang'a (aiyo)
Nyang'anyang'a beiby ooh
Sijateleza nyang'anyang'a (wouwo)
Mi kwako nyang'anyang'a (mpenzi njoo)
Umeniweza nyang'anyang'a (aiyo)
Nyang'anyang'a beiby ooh
Sijateleza nyang'anyang'a (aah)
Mi kwako nyang'anyang'a
Nakupa yote, Chukua Chukua
Chukua Yote Yako , Chukua Chukua
Chukua Peke Yako, Chukua Chukua Chukua
Umeniweza nyang'anyang'a (aiyo)
Nyang'anyang'a beiby ooh
Sijateleza nyang'anyang'a (wouwo)
Mi kwako nyang'anyang'a (mpenzi njoo)
Umeniweza nyang'anyang'a (aiyo)
Nyang'anyang'a beiby ooh
Sijateleza nyang'anyang'a (aah)
Mi kwako nyang'anyang'a
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
-
kuthi hhuu! [feel pressure of the Air (Spirit)] Zonke ezam Xa zibuya uzozibona [When My squad returns you’ll see] Banomoya. [They a...
No comments:
Post a Comment