HODARI LYRICS BY MBOSSO


[Intro]
La la la lalaaa
La La La Lalaaaa

[Verse 1]
Shombe shombe mtoto laini laini
Anawakawakaaa aaa
Wanga wape vidonge nimebaini baini
Wanatapatapaaa aaaaaa
Mmmh me na wewe mpaka kiama, tuombe uzima
Waroge kwa kuchutama na wasimame wimaa
Kamwe hawato pata mwanya habidhi fitinha
Wavige mabiringanya si tutoke dinner

[Pre-Chorus]
Nalegeaa ukinitazma yako macho yako machoo
Nalegeaa ikigusana Yangu na yako, Yangu na yako

[Chorus]
Katoto hodarii
hodari wa mapenzi
Jamani hodari
hodarii wa mapenzi
Kwa michezo ya chumbanii Hodarii
hodari wa mapenzi
Mtundu kitandani hodarii
Hodari wa mapenzii


[Verse 2]
Katoto nyakanga kame mzidi somo nakubwi
Chumbani kiranga kinaishaga komo kirungi
Ni sakata makirikiri kuniwasha kama pilipili
Fundi hasa amekidhiri kunipa mpaka nilewee
Kwasa kwasa ndani bingiri
Za kukataga chilii nani haswa unafikirii
Kama si wewee nichezeshe kidali sosi
Usiku wa mananee vangaa

Nikande kipanda uso tufunikane kanga
Nitishe boda la huko tukakutane tanga
Sie pin wa uputo wasijichanganye watapasuka

[Pre-Chorus]
Nalegeaa ukinitazma yako macho yako machoo
Nalegeaa ikigusana Yangu na yako, Yangu na yako

[Chorus]
Katoto hodarii
hodari wa mapenzi
Jamani hodari
hodarii wa mapenzi
Kiuno kunengua hodarii
Hodari wa mapenzi
Bidu kunibidua
hodari wa mapenzi

Wema sepetu hodari (Hodari wa mapenzi)
Uwoya hodarii (Hodari wa mapenzi)
Mama Cookie hodarii (Hodari wa mapenzi)
Mama Dangote hodarii (Hodari wa mapenzi)
Jack Wolper hodari (Hodari wa mapenzi)
Zari mama Tiffa hodari (Hodari wa mapenzi)
Oh esmakhan hodari (Hodari wa mapenzi)
Elizabeth Micheal Hodari (Hodari wa mapenzi)

No comments:

Post a Comment