SHIDA LYRICS BY MBOSSO


Natoka zangu kwetu kibiti,
naisaka da re salaama
naenda tafuta riziki,
niwatunze baba na mama
zikiugana haba na haba ndio kilo inatosha
chunga ni kufa haraka bwana
sisizokutosha
maana yasema riziki mafungu saba
inayo kutosha


No comments:

Post a Comment