Showing posts with label DIAMOND PLATNUMZ. Show all posts
Showing posts with label DIAMOND PLATNUMZ. Show all posts
THE ONE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
Ayolizer
Aii
My heart can never tell me lies
I know you love me and the love is true
And I feel the same way, I can't deny
Baby Ondi ku hole I will die for you
I swear usitishwe na ya vimbelembele
Oooh wanaopiga kelelelele
Ati kujifanya viherehere
Kwa sisi hawatoweza
Oooh beiby vimbele mbele
Pale tantarira kelele lele
Wa knock knock beiby vihere here
Kwa sisi hawataweza
And I want them to know (oyah)
Eeeh eeeh, you are the one I love ooh
Ah, one and only
Eeeh eeeh, the one I want ooh
I want them to know beiby
Eeeh eeeh, you are the one I love ooh
Eeeh eeeh, the one I want oooh
Asa whine beiby whine
Oooh yeah whine beiby
Drop it down beiby
Show me I want to see
Alichokupa mama (chii)
Asa whine beiby (isheketue)
Drop it down beiby (isheketue)
Show me I want to see
Alichokupa mama
Iye ai,
Penzi ni sherehe
Penzi pia vita
Tugombane kupakanya
Siri yetu ya ndani
Eeh aga
Na pombe starehe
Ni vitu vya kupita
Hasa visikuchanganye
Ukanishusha dhamani
Aah...
Penzi langu
Usicheze ka chura iwe dance (iwe dance)
Ukanifanya mchepu
Dharura emergency (emergency)
Oooh marina
Moyo wangu mwenzako ni mwepesi (ni mwepesi)
Nisije kufa
Kwa mapressure ufungwe iweje?
Asa usitishwe na ya vimbele mbele
Oooh wanaopiga kelele lele
Ati kujifanya vihere here
Kwa sisi hawatoweza
Oooh beiby vimbele mbele
Pale tantarira kelele lele
Wa knock knock beiby vihere here
Kwa sisi hawataweza
And I want them to know (oyah)
Eeeh eeeh, you are the one I love ooh
Ah, one and only
Eeeh eeeh, the one I want oooh
I want them to know beiby
Eeeh eeeh, you are the one I love ooh
(Naye mupenda sana)
Eeeh eeeh, the one I want ooh
Asa whine beiby whine
Oooh yeah whine beiby
Drop it down beiby
Show me I want to see
Alichokupa mama (chii)
Asa whine beiby whine (isheketue)
Drop it down beiby (isheketue)
Show me I want to see
Alichokupa mama
Oooh penzi letu moto (motoo)
Ah moto moto beiby (motoo)
Linawaunguza (motoo)
Ah moto moto (motoo)
I say beiby waite fire (motoo)
Lawachoma wa ubaya (motoo)
Ah moto wooo (motoo)
Moto (motoo)
TETEMA LYRICS BY RAYVANNY FT.DIAMOND PLATNUMZ
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema
Its s2kizzy beiby
Tetema yaani kama umepigwa shoti
Tetema nipe migandisho ya roboti
Tetema ukutani hadi kwenye kochi
Tetema kwenye giza mama shika pochi
Katoto kamenoga (ooh mama)
Nakapandiza za bukoba (ooh mama)
Nakapadisha bodaboda (ooh mama)
Kakichoka kuchuma mboga(ooh mama)
Aaai mama shigidi aah
Nakufa wooi wikidi aai
Aaai mama shigidi konki
Fire, motoo, liquidi Aya twende tetema
(ooh mama tetema) Tipo tipo tetema
(ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Tetema! Yaani kama vile generator (tetema)
Kama mwizi kakupiga ngeta (tetema)
Mwendo wa kutunga kupepeta (tetema)
Chini nikipuliza tarumbeta Asa wooza!
Wooza! Cheza shogoloza
Kufa chali kama mende Maria
Roza poza tungi limepoza
Twende nikupige nyembe(brrr...Okey)
You make my mind go kololo(kolooo...kolo)
Ukinuna tu mie toro(torooo...toro)
Washa! Saa nipe za digidigi Washa! Miuno ya kiki kiki
Washa! Funga kibindo mkwichi kwichi
Washa! Nikunyonge ka zigizigi Teeete! (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Ayo Lizzer, Chii Kichaa kime-kime-kimempata
Ame we who kime-kimempata
Kapandisha mizuka kime-kimempata
Ana ruka ruka kime-kimempata
Kichaa kime-kime-kimempata
Kapanda juu ya meza kime-kimempata
Eti anavua shati kime-kimempata
Na leo anatesa kime-kimempata
Yaani varangata Waasafii...
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema
Its s2kizzy beiby
Tetema yaani kama umepigwa shoti
Tetema nipe migandisho ya roboti
Tetema ukutani hadi kwenye kochi
Tetema kwenye giza mama shika pochi
Katoto kamenoga (ooh mama)
Nakapandiza za bukoba (ooh mama)
Nakapadisha bodaboda (ooh mama)
Kakichoka kuchuma mboga(ooh mama)
Aaai mama shigidi aah
Nakufa wooi wikidi aai
Aaai mama shigidi konki
Fire, motoo, liquidi Aya twende tetema
(ooh mama tetema) Tipo tipo tetema
(ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Tetema! Yaani kama vile generator (tetema)
Kama mwizi kakupiga ngeta (tetema)
Mwendo wa kutunga kupepeta (tetema)
Chini nikipuliza tarumbeta Asa wooza!
Wooza! Cheza shogoloza
Kufa chali kama mende Maria
Roza poza tungi limepoza
Twende nikupige nyembe(brrr...Okey)
You make my mind go kololo(kolooo...kolo)
Ukinuna tu mie toro(torooo...toro)
Washa! Saa nipe za digidigi Washa! Miuno ya kiki kiki
Washa! Funga kibindo mkwichi kwichi
Washa! Nikunyonge ka zigizigi Teeete! (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Tipo tipo tetema (ooh mama tetema)
Aya twende tetema (ooh mama tetema)
Shuka chini tetema (ooh mama tetema)
Ayo Lizzer, Chii Kichaa kime-kime-kimempata
Ame we who kime-kimempata
Kapandisha mizuka kime-kimempata
Ana ruka ruka kime-kimempata
Kichaa kime-kime-kimempata
Kapanda juu ya meza kime-kimempata
Eti anavua shati kime-kimempata
Na leo anatesa kime-kimempata
Yaani varangata Waasafii...
MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT. DIAMOND PLATNUMZ
Vanny Boy….
Ehh Vanny boy. Ehe.
They are not ready for this
[CHORUS]
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
[VERSE 1]
Oya wind your waist
Njoo nipatie Commando
Nikupe cha mkwesi Kwa miuno ya taekwondo
Asa chekele Mwendo wa kandanda
Ndani ya makwanda Sa nisongeze
Leta msambwanda Nikazie ngangangaaa (chiii!) Kananivuta ghetto
Nkapinge bunduki (High bunduki)
Ile naogopa central Michezo ya Amber Rutty (Amber Rutty)
[CHORUS]
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
[VERSE 2]
Yaani kama mjaluo Shepu ya Mombasa
Hapendagi mpasuo Hata akishinda basata
Tepe tepe mtoto kama supu teke teke (kongoro)
Kwa mateke mwite Fally Ipupa wa temeke (Ndombolo)
Shaku shaku ya masai (Oooh masai)
Kama kama nachuma papai (Oooh papai)
Funika funua (twendee)
Bandika bandua (twendee) Anika anua (twendee)
Kanipa chukua (twendee)
[CHORUS]
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
Oya fiti kalikiti ti katoto hakashikiki kwenye bilingiti ti
Huvunjaja na kiti (oya!)
Oooh sa iweke Ah iweke iweke…
Ah iweke Ipitishe kwa chini Ah iweke iweke…
Ah iweke Miendo ya kazi kazini Ah iweke iweke…
Ah iweke Hii ile ndindindii Ah iweke iweke…
Ah iweke Ngoja shake it ivoo Ah iweke iweke…
Ah iweke Twende shaku kidogo Ah iweke iweke…
Ah iweke Chuma magimbimbi Ah iweke iweke… Ah iweke
AMANDA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT. JAH PRAYZAH
amanda (amanda) eh
amanda (amanda) eh
amanda (amanda) eh
kwanza anakunywa bia kama anasinzia ( amanda)
macho kama anasinzia
nikiumwa na kichwa ye ndio nurse (amanda)
kitandani anavyoparamia komando (amanda)
kipato changu kidogo ameridhia
nashangaa unaleta shobo wataka niharibia
oh nakesha kuvunja nazi (amanda)
oh mwambie kwetu anajipa kazi ( amanda)
amanda (amanda) eh
amanda (amanda) eh
amanda (amanda) eh
kwanza anakunywa bia kama anasinzia ( amanda)
macho kama anasinzia
nikiumwa na kichwa ye ndio nurse (amanda)
kitandani anavyoparamia komando (amanda)
kipato changu kidogo ameridhia
nashangaa unaleta shobo wataka niharibia
oh nakesha kuvunja nazi (amanda)
oh mwambie kwetu anajipa kazi ( amanda)
KATIKA LYRICS BY NAVY KENZO FT.DIAMOND PLATNUMZ
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
[Verse 1]
Ninamidadi ka ya ruba, eeh
Kibao kata kinyonga, ooh-naa
Mfukoni namavumba, weeeh
Nungu chini linasunta, eeeh
Yani bo bo bo bo boo
Kananikoshaga robo ooo
Yani nasimama de de de dee
Kakitingisha wo wo wo wo
Baby girl dance for me one time, seketoo
Miono feni kunata, seketoo
Tena jifunge na ngata, seketoo
Zile za kibao kata, seketoo..
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..
[Verse 2]
Yani katot ni, kako ni ni nii
Kamekazika ni ngi ngi ngii
Nyuma mbwii, kako mbwi mbwi mbwii
Kana misifa shangi ngi ngii
Nilikavizia kitamboo, aah eeh
Loe kamenasa chambo, aah eeh
Nkapakia na mgando, aah eeh
Kajegeje karambo, aah eeh
Kana michenzo ngomani
Sindimba izombe
Nami nampatia za pwani
Muhogo wa jang’ombe
Yani e e e ee
Kananikoshaga roho o o o
Waga nasimama de de de dee
Kakitingisha wo wo wo wo
Oooh yaaah, ooh nadendeaa
Yani siwezi kutembea
Che cheme na checheme
Yani hadi na legea
[ Navy Kenzo ft Diamond Platnumz Katika Lyrics ]
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..
[Verse 3]
Maumivu naugulia
Mwiba ukizama nahisi mateso
Utamu mang’ang’ania versuri.online
Ndizi kwa nyuma Napata mchecheto
Nakuna Nazi kwa mkongojo, aah eeh
Naunga mchuza wa sotojo, aah eeh
Una la rosti rojo rojo, aah eeh
Mikunjo Fulani wa bogojo, aah eeh
Kibao kata tenteme tenteme
Kilinge ni kuzama uchutame
Uwezi pata we mpaka usimame
Haichagui mwembamba mnene
Nikalaze kwa bed kitanda, kwa geto
Nikachezeshe samba, roketo
Na kalivo na body kinanda, sepetu
Tunguli zimenibamba, mobetto
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh.
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
[Verse 1]
Ninamidadi ka ya ruba, eeh
Kibao kata kinyonga, ooh-naa
Mfukoni namavumba, weeeh
Nungu chini linasunta, eeeh
Yani bo bo bo bo boo
Kananikoshaga robo ooo
Yani nasimama de de de dee
Kakitingisha wo wo wo wo
Baby girl dance for me one time, seketoo
Miono feni kunata, seketoo
Tena jifunge na ngata, seketoo
Zile za kibao kata, seketoo..
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..
[Verse 2]
Yani katot ni, kako ni ni nii
Kamekazika ni ngi ngi ngii
Nyuma mbwii, kako mbwi mbwi mbwii
Kana misifa shangi ngi ngii
Nilikavizia kitamboo, aah eeh
Loe kamenasa chambo, aah eeh
Nkapakia na mgando, aah eeh
Kajegeje karambo, aah eeh
Kana michenzo ngomani
Sindimba izombe
Nami nampatia za pwani
Muhogo wa jang’ombe
Yani e e e ee
Kananikoshaga roho o o o
Waga nasimama de de de dee
Kakitingisha wo wo wo wo
Oooh yaaah, ooh nadendeaa
Yani siwezi kutembea
Che cheme na checheme
Yani hadi na legea
[ Navy Kenzo ft Diamond Platnumz Katika Lyrics ]
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..
[Verse 3]
Maumivu naugulia
Mwiba ukizama nahisi mateso
Utamu mang’ang’ania versuri.online
Ndizi kwa nyuma Napata mchecheto
Nakuna Nazi kwa mkongojo, aah eeh
Naunga mchuza wa sotojo, aah eeh
Una la rosti rojo rojo, aah eeh
Mikunjo Fulani wa bogojo, aah eeh
Kibao kata tenteme tenteme
Kilinge ni kuzama uchutame
Uwezi pata we mpaka usimame
Haichagui mwembamba mnene
Nikalaze kwa bed kitanda, kwa geto
Nikachezeshe samba, roketo
Na kalivo na body kinanda, sepetu
Tunguli zimenibamba, mobetto
[Chorus]
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh.
KWATU LYRICS BY ASLAY
Mmwaaah mmwaaah mmwaaah
Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo
Waambieee wajue Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga Utaniumiza roho
Nikila korosho Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga Yatima ooh
Unionyeshe alokufunza nyakanga Kitandani njoo
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu
Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari
Mupenzi hebu koleza
Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh La kuniteka mie eeh eeh eehk
aaah aaah aaaah aaaaaaaakh
Wambie wajue Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo
Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu
Nikishika kiuno
Unishika mabega ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea ayayaaaaaah
Baby humo humo Uliponishikia ayayaaaayaah
Uking'olewa meno Mwenzako navimba mdomo pia ayayayaaayaah
waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa
Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo
Waambieee wajue Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga Utaniumiza roho
Nikila korosho Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga Yatima ooh
Unionyeshe alokufunza nyakanga Kitandani njoo
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu
Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari
Mupenzi hebu koleza
Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh La kuniteka mie eeh eeh eehk
aaah aaah aaaah aaaaaaaakh
Wambie wajue Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo
Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu
Nikishika kiuno
Unishika mabega ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea ayayaaaaaah
Baby humo humo Uliponishikia ayayaaaayaah
Uking'olewa meno Mwenzako navimba mdomo pia ayayayaaayaah
waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa
JIBEBE LYRICS BY WCB FT.DIAMOND PLATNUMZ X LAVALAVA X MBOSSO
Intro:
Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
{Verse 1 : Diamon platnumz }
i say wee ngoja nijiseti, siwalisusa nakula
fanya wainama kisha rotate, tuwakunjishe na sura/
leo shimo limetema nimeshinda beti [shinda beti]
tuwaoneshe sinema wakina fetty /
{Hook up : Diamond platnumz}
asaa joo nijoo { i like it}
when i dance jogodo { i like it}
anh jinkolo jinkologo { i like it}
kouno lasotojo { i like it}
baby joo joo joo { i like it}
anh jinkolo jinkologo { i like it}
kifupa joghodo { i like it}
Uno lasotojo { i like it}
{Chorus : Diamond platnumz}
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
{Verse 2: Lava lava}
anhee!!!
nataka kwenye pachu pachu
[pachu pachu]
kitandani mwendo kwachu kwachu
[kwachu kwachu ]
nichanganye wauone niwe fyatu fyatu
[fyatu fyatu ]
ilipenzi walikumoe washakunaku
[shakunaku]
enh baby sankololo
[ennhee]
kerewa
[ennhee]
naija soco soco
asa ndombolo
[ennhee]
malewa
[ennhee]
aya loco loco
mikwako shoti ya takila lewa vimba[vimba]
nikuchekeshe kama gwakila mkudesimba /
{Hook up : Diamond platnumz}
asaa joo nijoo { i like it}
when i dance jogodo { i like it}
anh jinkolo jinkologo { i like it}
kouno lasotojo { i like it}
baby joo joo joo { i like it}
anh jinkolo jinkologo { i like it}
kifupa joghodo { i like it}
Uno lasotojo { i like it}
{Chorus : Diamond platnumz}
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
{Verse 3: Mbosso}
oh darling
nipe chuzi lachuku chuku ninywe bakuli zima
mshede mtukutu azame kwenye kisima
fatuma wee kishtobe
mwite aisha miugunoee
alivo nyonde nyonde kama gobe
nimshindue na miunoee
twende kopa kabana
[nheee]
kupumuana nana
[nheee]
kwakugandana
{ i like it}
nimufuate banna
[nheee]
kwani nananaa
[nheee]
tukikanana
{ i like it}
Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro
naulivo jaza nyuma kilo mbili nyanya za mataro/
{Hook up : Diamond platnumz}
asaa joo nijoo { i like it}
when i dance jogodo { i like it}
anh jinkolo jinkologo { i like it}
kouno lasotojo { i like it}
baby joo joo joo { i like it}
anh jinkolo jinkologo { i like it}
kifupa joghodo { i like it}
Uno lasotojo { i like it}
{Chorus : Diamond platnumz}
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
TIME TO PARTY LYRICS BY FLAVOUR FT. DIAMOND PLATNUMZ
Master craft on the beat. Wasafi…
Original Mister Flavour
[FLAVOUR]
Everyday na party Everyday na jolly oh
Oya move your body No time for story oh
Weh ma woman We suppose to dey party oh
No time to check time Everybody shakele be
[CHORUS] (Shakele)
Oya mama eh (Shakele)
Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh (Shakele)
Oya mama eh (Shakele)
Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh oh (Shakele)
[DIAMOND PLATNUMZ]
Shakiti eh I like when you do shaku
Bakiti eh I like it, noniko shabo
My yo yo yo Oshangu shangama
My yo yo yo Wasije kundanganya
The way you whine and roll it don take over my heart
And I can’t control it
Nataka ngwenza
Ase te te atetete
Ase yon gon witee
Ari te te a te te te
[CHORUS]
(Shakele) Oya mama eh
(Shakele) Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh (Shakele)
Oya mama eh (Shakele)
Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh oh (Shakele)
[FLAVOUR]
Girl your body sweety sweety (sweety sweety)
And your fine face pretty pretty (pretty pretty)
The way you whine, you be naughty naughty
And your backside tukwa egweji Aliko dey here
He supposed to throway
Adenuga dey here
You supposed to throway
Who is your body
Too much money oh
Follow your leader,
ONE TWO Everybody shakele hey
[CHORUS]
(Shakele) Oya mama eh
(Shakele) Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh (Shakele)
Oya mama eh (Shakele)
Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh oh (Shakele)
For this my party
Manya lenty oh I say for this my party
You go chop plenty oh
Weh ma woman
We suppose to dey party oh
No time to check time
Everybody shakele hey
[CHORUS]
(Shakele) Oya mama eh
(Shakele) Oya sister eh
(Shakele) Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh (Shakele)
Oya mama eh (Shakele)
Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh oh (Shakele)
Oya mama eh (Shakele)
Oya sister eh (Shakele)
Oh my baby oh eh (Shakele)
Time to party oh oh (Shakele)
COLOURS LYRICS BY JASON DERULO DIAMOND PLATNUMZ
Waite rafiki
Ndugu shabiki
Waambie muda sa tayari
Ooh
Wa wewe na sisi
Imara na biti
Pamoja tweza fika mbali
Oooh
Say oooooh
Can't you taste the feeling
Feeling
Say oooooh
We all together singing
Look how far we've come
Now now now now
There's beauty in the unity we've found
Im ready im ready
We still got a long way
But look how far weve come
Now now now
Hand up for your colors
Ooooooooh
Ooooooooh
Kwa tv ama viwanjani
Umoja ujenge kitu bora
Shangwe furaha burudani
Tukishusha coca cola
Upendo kwetu ndo sera
Oooooooh
Na wema ujirani
Oooooooh
Tuipeperushe bendera
Ooooooooh
Furaha isiyo kifani
Kwa maana
Look how far weve come
Now now now now
There's beauty in the unity we've found
Im ready im ready
We still got a long way
But look how far weve come
Now now now now
Hands up for your colors
Ooooooooh
Oooooooh
One hand two hands for your colors
Yeah
Woooooooh
Show your true colors
Here we go owiowioooooh
Lets put up a show
Ooh upendo na umoja
Twapenda maendelo
Twende nami pamoja
Look how far we've come
Now now now now
There is beauty in the unity we've found
Im ready im ready
We still got a long way
But look how far we've come
Now now now
Hands up for your colors
Oooooh
Theres beauty in the unity weve found
One hand two hands for your colors
Oooooooh
There's beauty in the unity weve found
Onja msisimko
Here we go owiowioooh
Let put up a show
Represent your country
Raise your flag
Show your true colors
Ndugu shabiki
Waambie muda sa tayari
Ooh
Wa wewe na sisi
Imara na biti
Pamoja tweza fika mbali
Oooh
Say oooooh
Can't you taste the feeling
Feeling
Say oooooh
We all together singing
Look how far we've come
Now now now now
There's beauty in the unity we've found
Im ready im ready
We still got a long way
But look how far weve come
Now now now
Hand up for your colors
Ooooooooh
Ooooooooh
Kwa tv ama viwanjani
Umoja ujenge kitu bora
Shangwe furaha burudani
Tukishusha coca cola
Upendo kwetu ndo sera
Oooooooh
Na wema ujirani
Oooooooh
Tuipeperushe bendera
Ooooooooh
Furaha isiyo kifani
Kwa maana
Look how far weve come
Now now now now
There's beauty in the unity we've found
Im ready im ready
We still got a long way
But look how far weve come
Now now now now
Hands up for your colors
Ooooooooh
Oooooooh
One hand two hands for your colors
Yeah
Woooooooh
Show your true colors
Here we go owiowioooooh
Lets put up a show
Ooh upendo na umoja
Twapenda maendelo
Twende nami pamoja
Look how far we've come
Now now now now
There is beauty in the unity we've found
Im ready im ready
We still got a long way
But look how far we've come
Now now now
Hands up for your colors
Oooooh
Theres beauty in the unity weve found
One hand two hands for your colors
Oooooooh
There's beauty in the unity weve found
Onja msisimko
Here we go owiowioooh
Let put up a show
Represent your country
Raise your flag
Show your true colors
IYENA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT RAYVANNY
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Hhhhmm!
Ah! Leo Chereko chereko
Mwanenu nimekuwa
Zile kuringa mideko itapungua
Ahsante mama ulinifunza nkajua
Baba kasema kuomba mwiko
Raha ya chumvi kununua
Tena si kwa nazi
Si hirizi za waganga
Kwa baraka za baba na mama
Tu na dua
Waambie paparazi
Pingamizi wenye viranga
Waliosema hayawi hayawi yamekuwa
Ooooh! Oh!
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana
Iyena Iyena (Aah ooh)
Iyena Iyena (Aah Iyeena)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 2 : Diamond Platnumz]
Ooh! Ndoa baraka
Ukipata ushukuru
Maana wanayoililia ni wengi sana
Kwetu talaka
Kuitoa ni kufuru
Nimefunzwa vumilia
Niushinde ujana
Ili kesho mahususi
Kusudi wasinong'one
Embu nichumu niringe washushuke
Na hii pete ya harusi
Nakuvisha waone
Wakale sumu
Wavimbe wapasuke
[Bridge : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Eeh!
Ati nashika nanga
Nteke nsichomoke ndani (Anameremeta)
Futa namba wablock vimada wa zamani (Anameremeta)
Sio vijembe vya kanga waziwazi mambo hadharani (Anameremeta)
Waliopanga mwenye nyumba kaja ndani (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena (Aah Eeeh)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Oh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeeena)
Iyena Iyena (Aah Eeh)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 3 : Rayvanny]
Imefika tamati
Tulisubiri kitambo
Leo samaki
Kanasa kwenye chambo
Pongezi kwa kamati
Yanavutia mapambo
Napata picha safi
Litanikoma bundle
Mwanamke usafi
Gaga kulisugua
Mume akirudi sharti
Viatu kumvua
Kitandani marashi
Massage kumchua
Kisha anza sayansi
Viuno kutengua
Mambo ya kuzima taa
Si mahaba ni kuwanga
Washa japo ka mshumaa
Mumeo aone shanga
[Bridge : Rayvanny]
Eeeeh!
Makeup kinanda
Kaka suit kama mbunge (Anameremeta)
Mulo changa muda kujipooza na punje (Anameremeta)
Momo ndani Shivo amekuja na Fumbwe (Anameremeta)
Kula chanda ukishiba ruksa kafunge (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyeee)
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Eh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeee)
Iyena Iyena (Hhhmm)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Outro : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Saa nataka kusasambua (Sasambu)
Me nasasambua (Sasambu)
Aby Dad nasasambua mimi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Mguu moja juu (Sasambu)
Usishushe chini (Sasambu)
Cheza jitazame (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Aisha kimobitel (Sasambu)
Nipe za baloteli (Sasambu)
Nyonga kibaiskeli (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Akaa kama unashika ukuta (Sasambu)
Ifanye unashusha (Sasambu)
Taratibu zungusha (Sasambu)
Sasambua
Tuone
Sasambu! Sasambu! Sasambu!
Sasambua!
Tuone
Kama unawasha bajaji (Sasambu)
Imwagie na maji (Sasambu)
Tuwakomeshe vizazi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Hhhhmm!
Ah! Leo Chereko chereko
Mwanenu nimekuwa
Zile kuringa mideko itapungua
Ahsante mama ulinifunza nkajua
Baba kasema kuomba mwiko
Raha ya chumvi kununua
Tena si kwa nazi
Si hirizi za waganga
Kwa baraka za baba na mama
Tu na dua
Waambie paparazi
Pingamizi wenye viranga
Waliosema hayawi hayawi yamekuwa
Ooooh! Oh!
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana
Iyena Iyena (Aah ooh)
Iyena Iyena (Aah Iyeena)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 2 : Diamond Platnumz]
Ooh! Ndoa baraka
Ukipata ushukuru
Maana wanayoililia ni wengi sana
Kwetu talaka
Kuitoa ni kufuru
Nimefunzwa vumilia
Niushinde ujana
Ili kesho mahususi
Kusudi wasinong'one
Embu nichumu niringe washushuke
Na hii pete ya harusi
Nakuvisha waone
Wakale sumu
Wavimbe wapasuke
[Bridge : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Eeh!
Ati nashika nanga
Nteke nsichomoke ndani (Anameremeta)
Futa namba wablock vimada wa zamani (Anameremeta)
Sio vijembe vya kanga waziwazi mambo hadharani (Anameremeta)
Waliopanga mwenye nyumba kaja ndani (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena (Aah Eeeh)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Oh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeeena)
Iyena Iyena (Aah Eeh)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 3 : Rayvanny]
Imefika tamati
Tulisubiri kitambo
Leo samaki
Kanasa kwenye chambo
Pongezi kwa kamati
Yanavutia mapambo
Napata picha safi
Litanikoma bundle
Mwanamke usafi
Gaga kulisugua
Mume akirudi sharti
Viatu kumvua
Kitandani marashi
Massage kumchua
Kisha anza sayansi
Viuno kutengua
Mambo ya kuzima taa
Si mahaba ni kuwanga
Washa japo ka mshumaa
Mumeo aone shanga
[Bridge : Rayvanny]
Eeeeh!
Makeup kinanda
Kaka suit kama mbunge (Anameremeta)
Mulo changa muda kujipooza na punje (Anameremeta)
Momo ndani Shivo amekuja na Fumbwe (Anameremeta)
Kula chanda ukishiba ruksa kafunge (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyeee)
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Eh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeee)
Iyena Iyena (Hhhmm)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Outro : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Saa nataka kusasambua (Sasambu)
Me nasasambua (Sasambu)
Aby Dad nasasambua mimi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Mguu moja juu (Sasambu)
Usishushe chini (Sasambu)
Cheza jitazame (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Aisha kimobitel (Sasambu)
Nipe za baloteli (Sasambu)
Nyonga kibaiskeli (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Akaa kama unashika ukuta (Sasambu)
Ifanye unashusha (Sasambu)
Taratibu zungusha (Sasambu)
Sasambua
Tuone
Sasambu! Sasambu! Sasambu!
Sasambua!
Tuone
Kama unawasha bajaji (Sasambu)
Imwagie na maji (Sasambu)
Tuwakomeshe vizazi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
KWANGWARU LYRICS BY HARMONIZE FT. DIAMOND PLATNUMZ
(verse 1)
mmmhh
i wish ningekuwaga na mavumba
mkwanja manoti
nikubonge vya thamani
ama niwe fundi wa kuigiza ka kanumba
masanja joti usiwe mabali nami
hhhmmm
my darling i need your love
uwe nami haki ya mungu nakupenda
nobody can show you love
usiwamini nishawapa wanakwenda
(bridge harmonize)
ooh basi jilegeze
nikubebe mgongoni (iyelewi)
deka nikudekeze nikutunze kama mboni
(iyelewi)
wakija wapoteze jifanye kama huawoni
(iyelewi)
kisha uniongeze ulivyofunzwa unyangoni
(iyelewi)
(chorus:harmonize)
ooh baby
asa dance nikuone
(kwa ngwaru)
wabanijoo(kwa ngwaru)
ooh baby
asa cheza nikuone
(kwa ngwaru)
wabanijoo (kws ngwaru)
basi cheza na mimi (kwa ngwaru)
(verse 2 diamond platnumz)
aah
moyo wangu wa muarobaini
mchungu ukiuziwa
samehe mara sabini
huo uzungu sijawahi elewa
ungependa juu ama chini
kwenye uvungu uparemiwa
nkumbatie baridini
kwenye tundu kama njiwa
moyo wangu mie wa makuti
usinijie na kibiriti(hasa weee)
nipatie vya kitandani
nipe mpaka kwenye kiti (hasa wee)
ila hasiniingie shetani
nawe nikaja kukucheat
(bridge:Diamond platnumz)
oh basi jilegeze
nikubebe mgongoni (iyelewi)
kitandani nikoleze
kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
kisha nibembeleze
nirudishe utotoni (iyelewi)
weka mate niteleze
kama nyoka pangoni (iyelewi)
AFRICAN BEAUTY LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT. OMARION
I'm in love with you
There's nothing that I wouldn't do
Catch up a [?] for you
As long as you want me to
I'm in love with you
There's nothing that I wouldn't do
Catch up a [?] for you
As long as you want me to
Penzi ntalipaka ngonjera
Uber kama tanga segera
Kwa viuno vya baikoko, kutoka Mwanza bee
Picha twazi twanga kisela
Posti insta wana kukera
Baada ya chali kimwogoo
Cause I just wanna let the know
You're my African beauty
You're my
African beauty
Aii you're my
African beauty
You're my
African beauty
Round the world
Girl I been looking for you
I think I might just find her, In Africa
Girl you know the sound when I come around
Lost you in the crowd, girl pick up your crown
Yeah
Do it now
Do it, do it now
Do it now
Do it, do it now
Penzi ntalipaka ngonjera
Uber kama tanga segera
Kwa viuno vya baikoko, kutoka Mwanza bae
Picha twazi twanga kisela
Posti insta wana kukera
Baada ya chali kimwogoo
Cause I just wanna let the know
You're my African beauty
You're my
African beauty
Aii you're my
African beauty
You're my
African beauty
Ooh
Love is what I see
When I look into your eyes
Ata nikiumwaga huwa napona
And you deserve to be
The one I expect to have
Tumbili chumbani kila Kona
Penzi ntalipaka ngonjera
Uber kama tanga segera
Kwa viuno vya baikoko, kutoka Mwanza bee
Picha twazi twanga kisela
Posti insta wana kukera
Baada ya chali kimwogoo
Cause I just wanna let the know
You're my African beauty
You're my
African beauty
Aii you're my
African beauty
You're my
African beauty
WAKA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT. RICKY ROSE
[Intro]
Wasafi
May bach Music
The black bottle boys
Huh
[Hook]
F0ck you like nobody
S0cking your whole body
Focking everyday at party
Clean bish playing dirty
Ooh!
[Verse 1 – Diamond]
Before the light cut
Light up the place
And then we pop bottles
Malaysian things
Cause love is the thing that I have in my heart
And its there for you
African queen that I need and I want everyday is only you
[Bridge]
Leo Baki, Kadaka kona
Mwendo wa kreti, Kwa nyama choma
Bao kila mechi, Ka Maradona
Mtoto kashawaka
I will sing alone
[Chorus]
Uuuuuh lalala, Uuuuuh lalala
Uuuuuh lalala, Yes me sing alone
Uuuuh lalala, Uuuuh lalala
And we go like
Waka waka, Waka waka
Waka
Waka waka, Waka waka
Waka waka, Waka waka
Waka
Waka waka, Waka waka
[Verse 2 – Rick Ross]
Waka waka waka
Maybach Music
Running with the young king
Biggest boss everywhere we go
We run the streets’
Never gossiping I’m only with the big talk
Black bottles so you know it’s time for live off
Big money so you know I’m living by the core
Born winners so you know your boy ‘n ever fall
belaire here, belaire there
We gotta have belaire everywhere
Bottles on ice balling all night black Ferrari boss stepping out in all white
No it’s not a secret meet me at the top
Black bottle boys we never stop (Maybach Music)
[Chorus]
Uuuuuh lalala, Uuuuuh lalala
Uuuuuh lalala, Yes we sing alone
Uuuuh lalala, Uuuuh lalala
And we go like
Waka waka, Waka waka
Waka
Waka waka, Waka waka
Waka waka, Waka waka
Waka
Waka waka, Waka waka
[Verse 3 – Diamond]
Oooh
When you hold me now
I loose my mind (I loose my mind my mind)
And I cannot control
I want it all night
Mmmmmm
Oh baby you should let me love you
Mmmmmmmm
Let me be the one to
Ah
[Hook]
F0ck like nobody
S0cking your whole body
Balling everyday at party
Clean bish playing dirty
Then we sing along
[Chorus]
Uuuuuh lalala, Uuuuuh lalala
Uuuuuh lalala, Yes we sing alone
Uuuuh lalala, Uuuuh lalala
And we go like
Waka waka, Waka waka
Waka
Waka waka, Waka waka
Waka waka, Waka waka
Waka
Waka waka, Waka waka
[Bridge]
Ooh baby you should let me love you
Mmmmmmmm
Let me be the, let me..
[Outro]
I go give you cars
I’ll gift you flowers
When I put that ring on you
You will pop champagne we take shower
Until 6 in the morning
I go give you cars
I’ll gift you flowers
When I put that ring on you
You will pop champagne we take shower
Until 6 in the morning
NIACHE LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
[Verse 1]
Mmh
Eti nikuombee mema na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe waah
mmh ni sawa na kuifosi sinema kuitazama
na haijanivutia lazima tu ntalala
Ooh na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki ata tuonane
Mmh Usije wala ukanita donda vilia
Utanchoteatu moto nisije nkutukane
mmh usije wala ukanita donda vilia
Mmh kinacho niumiza nafsi
kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi sabato
akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
We cementi me mchanga
nkasema mapenzi tujenge lisije loa
najitiya mkadalasi naezeka mabati
Wachini kenchi unabomoa niache
[Chorus]
Niache, Niache
Nia…che, (Oh Niache)
Niache, (Nipambane na moyo wangu)
Niache, Niache
(Moyo wangu unahasira)
Nia….che
Niache
[Verse 2]
mmh najitahidi silaki kwenye kitaanda
Huenda nkapunguza ndoto zako
mmh
mwilini nina machale utazani mwanga
yote kusahau uwepo wako
mmh
laitikama ungekua gari
ningekugonga barabarani
ama nyuki ntoe asali
nkung’ate sura wasitamani
hivi we ungo ulivuja mwali
ama ulivunja sahani
kuniundia matimu kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani
kinacho niumiza nafsi
kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi sabato
akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
We cementi me mchanga
nkasemamapenzi tujenge lisije loa
najitiya mkadalasi naezeka mabati
Wachini kenchi unabomoa niache
[Chorus]
Niache (Ohh Niache)
Niache, Moyo Wangu unahisi
Nia…che, na ukae mbali
Niache, (Ohh Niache)
Niache, Usiwapigie rafiki zangu
Niache, Usiwapigie rafiki zangu
Nache usithibutu hata
Nia….che, Niache
[Outro]
mmh ntakudanganya kwa tabasamu
ntakudanganya kwa kucheka
ntakudanganya hata kwa salam
ila moyoni nakuchukia
ntakudanganya kukufollow
ntakudanganya kucomment
ntakudanganya kulike picha
ila siwezi kukuzibia
SIKOMI LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
{Verse 1}
wanasemanga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
niliposikia gabari
yakisifika nikakesha nangojea ah
Akabariki jalali na nikawika muziki
Nikautea
Ile kumpaka maka
Nikajia ndio kwa gomo movi
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Nikama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
na kuitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi
mmh
wivu ukanifanya nikagomban na marafiki
ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki
Moyo ukanambia Naseeb sasa mapenzi basi
Ila nang'ang'ania najaribu kuipinga nafsi
Esma ananambia mdogo wangu mapenzi basi
Ila nang'ang'ania
nikiumizwa na huyu kesho mwingine
{cHORUS}
Ooh mboni sikomi sikomi sikomi
licha ya mateso haya
Najiuliza oh sikomi
Oh sikomi mbona (Sikomi)
Mbona jamani sikomi
Licha ya mateso haya ah
mmmh
{Verse 2}
Aliyonifanyia wa central
Akia-mungu siyawezi sema
Ila nimejifunza kesho siwaamini sinema
Moyo walinipatia mateso
Siwezi kumeza siwezi tema
mana sikushanga ile ghafla
toka ccm kwenda chadema
wanasema kitanda ukitandika sharti ukikalie
nikajitia ukamanda yatakwisha
wacha nivumilie kilakiza kikitanda
ndo visa machozi mi nilie
Penzi yakatia parapanda
Kuwaita waje washambulie
aah acha na penny we darling
nilomuhongaga gari aliponambia ana mimba
mwisho wa siku akaichomoa chali
Molah akanitunuku Zari
Akanizalia dume na mwali
Nilivomjinga nika-cheat aibu mpaka
Kwa vyombo vya habari
Moyo unanambia Naseeb sasa mapenzi basi
Ila nag'ang'ania najaribu kuipinga nafsi
Laizer ananambia simba mapenzi basi
Ila nang'ang ania nikiumizwa na huyu kesho na mwingine
{Chorus}
Ooh mbona sikomi
Mbona Sikomi
Mboona jamani sikomi
Licha ya mateso haya
Nishafumaniwa oh sikomi
Nikafumaniwa mimi(Sikomi)
Nishapambana na watu (Sikomi)
Licha ya mateso haya ah
{Outro}
Mateso mama
Ayo Laizer
A BOY FROM TANDALE LYRICS ALBUM DIAMOND PLATNUMZ
1. Hallelujah
2. Waka
3. Baikoko (Unreleased)
4. Pamela (Unreleased)
5. Iyena (Unreleased)
6. Kosa Langu
7. Nikuone
8. Baila
9. Sijaona (Unreleased)
10. African Beauty
11. Eneka
12. Fire
13. Marry You
14. Number One Remix
15. Nana
16. Kidogo
17. Amanda (Unreleased)
18. Far Away (Unreleased)
19. Niache
20. Sikomi
African Beauty(Clean Version)
FAR AWAY Official
KIPI SIJASIKIA LYRICS BY PROF JAY FT DIAMOND PLANUMZ
niliacha kazi nifanye mzikiwakatabiri nitalost wengine wakanishawishi tuloge
kuondoa mikosi nakomaa na muziki
ingawa jua la utosi naamini wote tunapita na kamwe
jina langu lishatumika sana kutajirisha watu nyota ndogo
walisha sema kuna watu na viatu bunduki
haiuwi watu ila watu ndo wanaua watu
dunia kama jalala tazama kwa jicho la tatu
lisamfire watu wanahusna na wrong fire
tunawaita watakatifu kumbe ndo mavampire
yalisemwa mengi dem wangu alipo toroka
ni fundisho tosha na changamoto kwao
wanachoka nimepitia mengi mitihani ya kila namna
ndo maana mi sishangai wakiniita mbeba lawama
washikaji wengine feki kwenye dili hawakujui
wanazani kila jogoo akiwika ni asubuhi
liziki hamuwezi ziba labda mtaichelewesha tu
mnakesha mnishushe mwenyezi ananipaisha kote
mlikobana kidume ndo nayusua mnanijua
nakamua roho za wanga zinaungua aah
unaehukumu ni wewe
mwenyezi mungu naomba unilinde
kwenye hii vita milele nami nishike mkono nishinde…
walishazusha zusha nimekufa
et nimepata ajali washindwe na walegee
mwenyezi niepushie mbali
wakasema nina ukimwi kwa kuwa nilikonda ghafla
wanataka kunizika mzima kabla sijafa
waliosema nina ngoma wengine tushafukia
wanaomba nife leo naamini watatangulia
mama pumzika pema daima tunakulilia
na bado wanachonga sana
but men the king zia daima
mtaji wangu ni nguvu zangu mwenyewe
simwamini mtu kamwe najiamini mi mwenyewe
hata nikinywa maji wanadai nakunywa pombe
mi sijali i nope them wote wanalizombe
bado tunapambana kibarua kisiote nyasi
daima sitawadhuru wale wote walioniasi
nikikaa kimya msidhani sijasikia sio
bahati sio kengekewa ni sauti iliyobarikiwa hala!
aah unaehukumu ni wewe
mwenyezi mungu naomba unilinde
kwenye hii vita milele nami nishike mkono nishinde…
KEREWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
kwanza umejazika kama mlima kitonga,
mpaka mabitozi wanajigonga,
figure matata na kweli umekwenda skonga,
je napokumiss naku-call tunabonga,
hello we ndio mamito
amini mi ndio papito
okay,we ndio mamito,
achana nao ya dunia yote mapito
okay,yes we ni bonge la demu,
tupendane tupeaneyaanikila sehemu,
hook-shetta
we ndio mama kaila
of course mi ndio baba kaila
achana nao wanaokufata wote ni taila
chorus-diamond platnumz
we ni wangu tu ,tena waambie watuache tulalale
we ni wangu tu,husije niacha nikachekwa na wale
ona naimba,kerewa,kerewa,(ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
verse 2-shetta
yoh umenipa nafasi sitaki nikosee
sitaki mwendo kasi sitaki nipotee
changanya kila kitu mpaka nikolee
mi ni wako kila siku nipokee
jua kweli nakupenda mama,
siwezi kukuigiza drama
vicheche nawakatalia sana,
nafurahi pia unabania wana
mpaka wanasema hunifai kabisa,
wanatamani nikuache kwa visa
wengine wanataka nikuuze ka hisa
ila mcizinimegoma sikuachi kabisa
hook-shetta
oh yeah
we ndio mama kaila
of course mi ndio baba kaila
achana nao wanaokufata wote ni taila
chorus-diamond platnumz
we ni wangu tu ,tena waambie watuache tulalale
we ni wangu tu,husije niacha nikachekwa na wale
ona naimba,kerewa,kerewa,(ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
bridge-diamond platnumz
sa usiniumize basi (ayaya)
ukanipa wasi wasi,(ayaya)
ah kaugonjwa ka nafsi (ayaya)
moyo ukanienda kasi (ayaya)
ah usiniumize basi (ayaya)
ukanipa wasi wasi,(ayaya)
ah kaugonjwa ka nafsi (ayaya)
moyo ukanienda kasi (ayaya)
ah si unajua wenye chuki na hiyana
wametukania sana,sana usiku na mchana,
wakiomba kuachana
outro-diamond platnumz
so usiniumize basi (ayaya)
ukanipa wasi wasi (ayaya)
ah kaugonjwa ka nafsi (ayaya)
moyo ukanienda kasi (ayaya)
mpaka mabitozi wanajigonga,
figure matata na kweli umekwenda skonga,
je napokumiss naku-call tunabonga,
hello we ndio mamito
amini mi ndio papito
okay,we ndio mamito,
achana nao ya dunia yote mapito
okay,yes we ni bonge la demu,
tupendane tupeaneyaanikila sehemu,
hook-shetta
we ndio mama kaila
of course mi ndio baba kaila
achana nao wanaokufata wote ni taila
chorus-diamond platnumz
we ni wangu tu ,tena waambie watuache tulalale
we ni wangu tu,husije niacha nikachekwa na wale
ona naimba,kerewa,kerewa,(ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
verse 2-shetta
yoh umenipa nafasi sitaki nikosee
sitaki mwendo kasi sitaki nipotee
changanya kila kitu mpaka nikolee
mi ni wako kila siku nipokee
jua kweli nakupenda mama,
siwezi kukuigiza drama
vicheche nawakatalia sana,
nafurahi pia unabania wana
mpaka wanasema hunifai kabisa,
wanatamani nikuache kwa visa
wengine wanataka nikuuze ka hisa
ila mcizinimegoma sikuachi kabisa
hook-shetta
oh yeah
we ndio mama kaila
of course mi ndio baba kaila
achana nao wanaokufata wote ni taila
chorus-diamond platnumz
we ni wangu tu ,tena waambie watuache tulalale
we ni wangu tu,husije niacha nikachekwa na wale
ona naimba,kerewa,kerewa,(ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
kerewa,kerewa (ayaya)
ah kerewa,kerewa aya ya ya
bridge-diamond platnumz
sa usiniumize basi (ayaya)
ukanipa wasi wasi,(ayaya)
ah kaugonjwa ka nafsi (ayaya)
moyo ukanienda kasi (ayaya)
ah usiniumize basi (ayaya)
ukanipa wasi wasi,(ayaya)
ah kaugonjwa ka nafsi (ayaya)
moyo ukanienda kasi (ayaya)
ah si unajua wenye chuki na hiyana
wametukania sana,sana usiku na mchana,
wakiomba kuachana
outro-diamond platnumz
so usiniumize basi (ayaya)
ukanipa wasi wasi (ayaya)
ah kaugonjwa ka nafsi (ayaya)
moyo ukanienda kasi (ayaya)
PROKOTO LYRICS BY VICTORIA KIMANI FT.OMMY DIMPOZ,DIAMOND PLATNUMZ
[Diamond]:
Tena Jinsi Niko Gado,
Iwe Kwa Vitz Ama Prado,
Kukuacha Mimi Bado,
Nisijeshindia Panadol,
Basi Nipe AdoAdo,
Penzi Lijae Kisado,
Tupande Na Funcago,
Tuende China Hadi Chicago,
Verse 1[Victoria Kimani]
You Give Me That Fever, Fever,
Night Time You're Lovin Me Deeper,
Oh Lord It Must Be Love,
Oh Baby,
Oh Boy Put A Ring On It,
Make Me Your One And Only,
I Need To Know If Its Real
Pre Hook[Ommy Dimpoz]:
Ale Mama Woo,
Basi Nipe Kidogo Woo,
Mwenzako Nipoze Roho,
Ah Hayaaaaa Ah,
Ale Mama Woo,
Basi Nipe Kidogo Woo,
Mwenzako Nipoze Roho,
Si Kwa Ubaya,
[Victoria Kimani]
Ooh Baby,
Ooh Baby,
I Know Your Mine,
Baby, Oooh Baby,
I Know Your Mine,
HOOK [Diamond]:
Tena Jinsi Niko Gado,
Iwe Kwa Vitz Ama Prado,
Kukuacha Mimi Bado,
Nisijeshindia Panadol,
Basi Nipe AdoAdo,
Penzi Lijae Kisado,
Tupande Na Funcago,
Tuende China Hadi Chicago,
Oya Prokoto Prokoto,
Ade Prokoto Prokoto,
Twende Prokoto Prokoto,
Nipe Tena Bado,
Oya Prokoto Prokoto,
Ade Prokoto Prokoto,
Twende Prokoto Prokoto,
Nipe Tena Bado,
Verse 2[Victoria Kimani]
Gimme Your Lovin,
Gimme, Gimme, Gimne Your Lovin',
Gimme Your Love Tonight Baby,
Gimme Your Lovin',
Gimme Gimme Gimme Your Lovin,
Gimme Your Love Tonight Baby,
Just Give Me One More Night,
Dance With Me Till The Sunlight,
Hold Me, Dont Let Me Go, Ooohhh,
I See You In My Future,
Only You Can Fill Me,
Baby, It Must Be Love,
Oohhh Ayyaaa,
Pre Hook[Ommy Dimpoz]
Ale Mama Woo,
Basi Nipe Kidogo Woo,
Mwenzako Nipoze Roho,
Ayaaa,
Ale Mama Woo,
Basi Nipe Kidogo Woo,
Mwenzako Nipoze Roho,
Si Kwa Ubaya,
Nina Hamu Hamu Leo,
Nina Hamu Hamu Leo,
Nina Hamu Hamu Leo,
Ukanipe Leo,(x2)
CHORUS[DIAMOND]
NITAKUKUMBUKA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ
Verse 1
Ooooh
Ah
Ale tate tate
Ah
Kinachoniuma ni mazoea
Kunifanya nikeshe usiku na mchana
Ah
Au mate au mate
Ah
Mbele na nyuma nikingojea
Huenda ikabadili mfupa kuwa nyama
Ooh siri yangu siri
Bado natunza iwe yangu
Siri yangu
Japo kuwa natamani kusema
Wachache
Bado naisubiri
Mola hajanipa zamu yangu
Aah
Huenda utanikumbuka siku unifuate
Ah
Moyo kama nguo ukausasangua
Kwa moshoga zako
Ukaacha funguo
Kwa kujishebetua ukaenda zako
Moyo kama nguo ukausasangua
Kwa moshoga zako
Ukaacha funguo
Kwa kujishebetua ukaenda zako
Chorus
Aah
Rudi mama eeh
Nakukumbuka
Nakukumbuka eeh
Nakukumbuka
Mwenzako silali eeh (x4)
Verse 2
Ah
Niacheni mie
Kinachoniuma ni mazoea
Mie
Siwezi kuficha nimekuzoea
Mie
Kinachoniuma ni mazoea
Mie
Siwezi kuficha nimekuzoea
Hali yangu si shwari
Mda wowote huenda naja (huenda naja)
Fanya uje na daktari
Tena ikibidi waganga (waganga)
Na matafuta hodari
Kutoka binga na tanga
Wale nguli machachali
Wapiga ndele kwa vanga
Ooh ooh
Hizi furaha za duniaa
Mamaaa
Ziko tangu vile iliaa
Mamaaa
Njoo nakusubiriaa
Mamaaa
Ona hata nakuimbiaa
Mwenzako silali
Chorus
Aah
Rudi mama eeh
Nakukumbuka
Nakukumbuka eeh
Nakukumbuka
Mwenzako silali eeh
(x4)
(x2)
Ooooh
Ah
Ale tate tate
Ah
Kinachoniuma ni mazoea
Kunifanya nikeshe usiku na mchana
Ah
Au mate au mate
Ah
Mbele na nyuma nikingojea
Huenda ikabadili mfupa kuwa nyama
Ooh siri yangu siri
Bado natunza iwe yangu
Siri yangu
Japo kuwa natamani kusema
Wachache
Bado naisubiri
Mola hajanipa zamu yangu
Aah
Huenda utanikumbuka siku unifuate
Ah
Moyo kama nguo ukausasangua
Kwa moshoga zako
Ukaacha funguo
Kwa kujishebetua ukaenda zako
Moyo kama nguo ukausasangua
Kwa moshoga zako
Ukaacha funguo
Kwa kujishebetua ukaenda zako
Chorus
Aah
Rudi mama eeh
Nakukumbuka
Nakukumbuka eeh
Nakukumbuka
Mwenzako silali eeh (x4)
Verse 2
Ah
Niacheni mie
Kinachoniuma ni mazoea
Mie
Siwezi kuficha nimekuzoea
Mie
Kinachoniuma ni mazoea
Mie
Siwezi kuficha nimekuzoea
Hali yangu si shwari
Mda wowote huenda naja (huenda naja)
Fanya uje na daktari
Tena ikibidi waganga (waganga)
Na matafuta hodari
Kutoka binga na tanga
Wale nguli machachali
Wapiga ndele kwa vanga
Ooh ooh
Hizi furaha za duniaa
Mamaaa
Ziko tangu vile iliaa
Mamaaa
Njoo nakusubiriaa
Mamaaa
Ona hata nakuimbiaa
Mwenzako silali
Chorus
Aah
Rudi mama eeh
Nakukumbuka
Nakukumbuka eeh
Nakukumbuka
Mwenzako silali eeh
(x4)
(x2)
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
kuthi hhuu! [feel pressure of the Air (Spirit)] Zonke ezam Xa zibuya uzozibona [When My squad returns you’ll see] Banomoya. [They a...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...