Showing posts with label RAYVANNY. Show all posts
Showing posts with label RAYVANNY. Show all posts
MMMH LYRICS BY WILLY PAUL FT RAYVANNY
mmmh mmmh mmmh
Vanny boy willy Pozee
Teddy B
Siku kuu kukupata we mdoli
Kwa ajili yangu
Mungu amekushusha
Kitunguu we ndo ladha ya mtoli
Ama nyama nyama kwenye sambusa
Kichuguuni mzigo na toroli
Hadi nguo inataka pasuka
Msupuu mwenye macho ya gololi
Rangi kama unaoga mafuta
Ooh my (ooh my),
I do not lie
Girl you know you changed my life
In your eyes, I do not lie
Girl you know you changed my life
We ndo raha, dunia mbaya
Sikia my dear, usije nikimbia, tulia!
Nile niwe na wewe
Mmmm mmmh mmmh (sisemi)
mmmm mmmh mmmh (nabaki naguna guna)
mmmm mmmh mmmh (mmmhmmmm)
mmmm mmmh mmmh (nabaki najimumunya)
Mmmh mmmh mmmh (aaah, sisemi, iyeiye)
Mmmh mmmh mmmh (nabaki naguna guna)
Mmmh mmmh mmmh (mama sihemi)
Mmmh mmmh mmmh (nabaki najimumunya)
Allow me touch you beiby oooh
Allow me kiss you sherii oooh
Allow me touch you beiby oooh
Allow me kiss you yeah
Mtoto jojo, umeumbwa ukaumbika(mmmh)
Shavu dodo, mwenzako namalizika(yeah)
Hauna nyodo, we kwangu ndo malaika(eeh)
Usilete zogo, mwenzako atanizika (ooh)
Beiby naona wewe ndiye Hawa,
Na mimi Adamu
Nipeleke kila corner Nairobi sawa ama
Dar es Salamu Ooh my(ooh my),
I don't lie Girl know you changed my life
In your eyes, I don't lie
Girl you know you changed my life
Mmmm mmmh mmmh (sisemi)
mmmm mmmh mmmh (nabaki naguna guna)
mmmm mmmh mmmh (mmmhmmmm)
mmmm mmmh mmmh (nabaki najimumunya)
Mmmm mmmh mmmh (sisemi, iyeiye)
mmmm mmmh mmmh (nabaki naguna guna)
mmmm mmmh mmmh (mama sihemi)
mmmm mmmh mmmh (nabaki najimumunya)
Aah-aah aah-aah aah-aah aah-aah
They call me Boy,
Willy Pozee, neither nomare
Aah-aah aah-aah aah-aah aah-aah
Eti Vanny Boy,
Willy Pozee, nor nomare
Eti Vanny Boy,
Willy Pozee, nominated Uuuh uuuh uuuh ....
PARANAWE LYRICS BY HARMONIZE FT. RAYVANNY
[VERSE 1: HARMONIZE]
Kwenye darkness Kwenye
Candle Professional wa ku handle
The way you take me to the angle
Wewe ni human being ama angel
If you want my heart oooh
I give you baby carry go
Kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido (aah eeeeeh!)
[PRE CHORUS]
My sheri koko Kwa baridi nipe joto (aah eeeeeh!)
Kisha tupate kimoko
Babu bibi, kura doto (aah eeeeeh!)
My sheri koko Kwa baridi nipe joto (aah eeeeeh!)
Kisha tupate kimoko Babu,bibi, kura doto (aah eeeeeh!)
[CHORUS]
(Paranawe paranawe)
I want to see you dancing (Paranawe paranawe)
I like the way you dancing (Paranawe paranawe)
I like the way you dancing (Paranawe paranawe)
[VERSE 2: RAYVANNY] (Vanny Boy)
Hivi unasokota jicho lako
Legelege lina dondoka (Nakuuulizaa...)
Hivi una ka motor Panga boy Chenga jay jay
Ooh kocha (wanimaliza...)
Pretty gal, nasty Nitasema sorry nikimbeza
Ata kama nyuma umetegwa pasi
Sura mbaya dawa yake makeup
Uweke wembe Nitakula kiporo
Nimeshapenda sijui kasoro
Jirembe uwe mwororo Kama huna shepu vaa kigodoro
If you want my heart oh I give you baby carry go
Kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido ooh (aah eeeeeh!)
[PRE-CHORUS]
My sheri koko
Kwa baridi nipe joto (aah eeeeeh!)
Ndo uitwange kokoto Pekupeku kama mpoto
[CHORUS]
(Paranawe paranawe) I want to see you dancing
(Paranawe paranawe) I like the way you dancing
Paranawe (noga) paranawe (noga) I like the way you dancing
Paranawe (noga) paranawe
[VERSE 3]
(Anaeka sweeti) Katamu mi nakajuwa uwa
Na kanavyo jishaua uwa (Ulimi picky)
Sinapo na vimaua ua Midomo denda ngozi muruwa uwa
Awusha ashawa Pauka pakawa Inuka pagawa (eeeeee....)
Zinduka mandawa Pinduka kagawa Karuka mabawa
[CHORUS] I want to see you dancing
(Paranawe paranawe) I want to see you dancing
(Paranawe paranawe) I like the way you dancing
(Paranawe paranawe) I like the way you dancing
Paranawe(noga) paranawe(noga)
Woiyooo Woiyoyo Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
Cheki wanaona wivu
Shake what your mama gave you
Cheki wanaona wivu
Shake what your mama gave you
Cheki wanaona wivu Wasafi
DUDU BAYA FT. RAYVANNY KONKI LYRICS
Ooooh yeah yeah
VannyBoy Gang
(Its s2Kizzy baby)
yeah
VannyBoy Gang
Yeah!(yeah yeah)
Konki! Konki!
Konki! Master Konki(Konki Master)
Konki! Konki!
Konki Master Konki(oooh yeah)
Konki! Konki!
Konki! Master Konki(Konki Master)
Konki! Konki!
Konki Master Konki(Master)
Naitwa(naitwa)
Mamba(Mamba)
Dudu Baya(Dudu baya)
Oil Chafu(Chafu Oili Chafu)
Konki!(Konki)
Konki!(Konki)
Konki Master(Konki Master)
Walisha niban-ia na sichoki(Konki!)
Nang’ang’ania na sitoki(Konki!)
Na Hit ata kama si Promoti(Konki!)
Kwenye listi nakotaja siogopi(Konki!)
Kunta Kente Kent-e(yeah)
No management-e(Hee!)
Mambo iyende iyent-e(Konki!)
Mambo tente ment-e (Konki!)
Dudu Mbaya Oili Chafu rrrrrh (Konki!)
Huwezi kuichafua (Psssh psssh)
Konki!
Mambaaaaa! (ehehe)
(Konki!)
Konki! Konki!
Konki Master!
Konki! Konki!
Konki! Master Konki(Konki Master)
Konki! Konki!
Konki Master Konki(oooh yeah)
Konki! Konki!
Konki! Master Konki(Konki Master)
Konki! Konki!
Konki Master Konki(Master)
Mziki una mashairi takataka
Watani wanataka kutoiacha katakata
Na ndo yana fanya tuna takata
Kwa hiyo ukiyazuia yasije vunja kitasa
Base Konki, Beat Konki
Yani Konki Konki
Ni Wasafi soma Logo yaani Fonti Fonti
Nijali Konki, Dume Konki, Show Konki Konki(heee!)
Uje Ghetto mi ni punda yaani Donki Donki
Walichimba shimo refu wafukie
Interview ngoma zetu zisilie
Show zao wakagoma tuhudhulie(uuuiii)
Lengo lao tuchakae tufulie
Basi Mungu acha atupiganie
Ngoma zetu adi kwa mama nitilie
Bodaboda na Bajaji zetu sie
Na show zinajaa acha watushangilie
Wasafi (Konki!)
Vanny Boy(Konki!)
Tumeshazoea lawana ndiyooo(uwiiii)
Wasafi (Konki!)
Vanny Boy(Konki!)
Bendera ya chama la wana iyooo(rrrrrrr yeaaa)
Konki! Konki!
Konki! Master Konki(Konki Master)
Konki! Konki!
Konki Master Konki(oooh yeah)
Konki! Konki!
Konki! Master Konki(Konki Master)
Konki! Konki!
Konki Master Konki(Master)
MWANZA LYRICS BY RAYVANNY FT. DIAMOND PLATNUMZ
Vanny Boy….
Ehh Vanny boy. Ehe.
They are not ready for this
[CHORUS]
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege
Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege
Nishushe mwanza nyegezi
[VERSE 1]
Oya wind your waist
Njoo nipatie Commando
Nikupe cha mkwesi Kwa miuno ya taekwondo
Asa chekele Mwendo wa kandanda
Ndani ya makwanda Sa nisongeze
Leta msambwanda Nikazie ngangangaaa (chiii!) Kananivuta ghetto
Nkapinge bunduki (High bunduki)
Ile naogopa central Michezo ya Amber Rutty (Amber Rutty)
[CHORUS]
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
[VERSE 2]
Yaani kama mjaluo Shepu ya Mombasa
Hapendagi mpasuo Hata akishinda basata
Tepe tepe mtoto kama supu teke teke (kongoro)
Kwa mateke mwite Fally Ipupa wa temeke (Ndombolo)
Shaku shaku ya masai (Oooh masai)
Kama kama nachuma papai (Oooh papai)
Funika funua (twendee)
Bandika bandua (twendee) Anika anua (twendee)
Kanipa chukua (twendee)
[CHORUS]
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
Eeh nyege nyege Kwetu mwanza nyegezi
Hmmm nyege nyege Nishushe mwanza nyegezi
Oya fiti kalikiti ti katoto hakashikiki kwenye bilingiti ti
Huvunjaja na kiti (oya!)
Oooh sa iweke Ah iweke iweke…
Ah iweke Ipitishe kwa chini Ah iweke iweke…
Ah iweke Miendo ya kazi kazini Ah iweke iweke…
Ah iweke Hii ile ndindindii Ah iweke iweke…
Ah iweke Ngoja shake it ivoo Ah iweke iweke…
Ah iweke Twende shaku kidogo Ah iweke iweke…
Ah iweke Chuma magimbimbi Ah iweke iweke… Ah iweke
AMABLESSER REMIX LYRICS BY MLINDO THE VOCALIST FT.RAYVANNY & DJ MAPHORISA
Uyaz' uk'thand umuntu uvele ugcwale ngaye
Uvel' ubon i-straight, uvele ubon' umshado, ngisho uMah wey'ngane
Impilo yakho yonk' iphelele wena uma unaye
Kant yena ufun' ukuhamba, ufuna uk'bona abanye
Mina angsazi ngthini, angsazi ngthini ye...
Ak'philek ngaphandle kwakho nawe uyaz' sthandwa sami...
Ngob' uthen' akasangthand ucela ngimyeke
Uhambile uma-baby, uhambile uma-baby yea...
Uhambel' amablesser, uhambel' amablesser wooaa...
Heeyahh
(RAYVANNY)
so i'm getting some to loser
coz you have someone in you
girl you make me cry
but still love you
Na mwanamke sio wa kumchunga
labda mbuzi ng'ombe tu
shida hazifai wanapendaga vya juu
mmmmh yangu furahaa
umeondoka nayo haaaa !! aaah
haupo tena wangu mimii
aaah aaah!!
ningerudisha masaa
japo niseme nawe
aaaah!aah!
nakupenda utarudi lini aaaah!
U-lovey wam uhambel amablesser, uhambel amablesser aah
Ihambil' intombi kamjita, ay ulova...
Usho in front of phamb' kwabantu wathi "it's over"
Mina ngakho... weeh
Mina angnalutho, mina maningthathela yena nithi ngenzenjani...
Uma ningthathela yena nithi ngthande bani...
Wentomb' yam weh
Wentomb yam wena aah
Mina ngakho... weeh
Mina angnalutho, mina maningthathela yena nithi ngenzenjani...
Uma ningthathela yena nithi ngthande bani...
Wentomb' yam weh
Wentomb yam wena aah
This is the official Remix from the original Song Amablesser by Mlindothevocalist and Dj Maphorisa artists from South Africa Feauturing Rayvanny artist from Tanzania. Song produced by dj Maphorisa
CHOMBO LYRICS BY RAYVANNY
Intro:
Ololololo lololoo
Verse 1:
Foundation wanja
Nywele ya bei yakiwanja
Ndinga mkwanja
Shoping mwendo wakuchanja
Sponser danga
Chuna komesha viranga
Basi vimba tamba
Ulooo wakikuchambaa
Bridge:
Ooh lalalaaa
cheusi mangala wakanda
Ooh lalalaaa
Tukale sangara wamwanza
Ooh lalalaaa
Nyewele chotara kinanda
Ooh lalalaaa
Mototo papara msamba
Ooh lalalaaa
Chorus:
Chombo x3
Kanakwenda na fashion
Chombo x3
Kanangozi ya rosheni
Chombo x3
Mechi chumbani sebreni
Chombo x3
Ntakapeleka ukweni
Verse2:
mcho yako nalewa mimie
mzigo mkalia nyongo
pekecha pekecha ulindi ulimbombo
miniwako ninganganie
kama mbozi nakimondo
nogesha nogesha
pegele na kamongo
oh baby baby mwenzako nitadedi
hizo fujo chumbani betuka binuka
Bridge:
Ooh lalalaaa
cheusi mangala wakanda
Ooh lalalaaa
Tukale sangara wamwanza
Ooh lalalaaa
Nyewele chotara kinanda
Ooh lalalaaa
Mototo papara msamba
Ooh lalalaaa
Chorus:
Chombo x3
Kanakwenda na fashion
Chombo x3
Kanangozi ya rosheni
Chombo x3
Mechi chumbani sebreni
Chombo x3
Ntakapeleka ukweni
Initial:
Ololololo lololoo
IYENA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT RAYVANNY
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Hhhhmm!
Ah! Leo Chereko chereko
Mwanenu nimekuwa
Zile kuringa mideko itapungua
Ahsante mama ulinifunza nkajua
Baba kasema kuomba mwiko
Raha ya chumvi kununua
Tena si kwa nazi
Si hirizi za waganga
Kwa baraka za baba na mama
Tu na dua
Waambie paparazi
Pingamizi wenye viranga
Waliosema hayawi hayawi yamekuwa
Ooooh! Oh!
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana
Iyena Iyena (Aah ooh)
Iyena Iyena (Aah Iyeena)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 2 : Diamond Platnumz]
Ooh! Ndoa baraka
Ukipata ushukuru
Maana wanayoililia ni wengi sana
Kwetu talaka
Kuitoa ni kufuru
Nimefunzwa vumilia
Niushinde ujana
Ili kesho mahususi
Kusudi wasinong'one
Embu nichumu niringe washushuke
Na hii pete ya harusi
Nakuvisha waone
Wakale sumu
Wavimbe wapasuke
[Bridge : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Eeh!
Ati nashika nanga
Nteke nsichomoke ndani (Anameremeta)
Futa namba wablock vimada wa zamani (Anameremeta)
Sio vijembe vya kanga waziwazi mambo hadharani (Anameremeta)
Waliopanga mwenye nyumba kaja ndani (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena (Aah Eeeh)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Oh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeeena)
Iyena Iyena (Aah Eeh)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 3 : Rayvanny]
Imefika tamati
Tulisubiri kitambo
Leo samaki
Kanasa kwenye chambo
Pongezi kwa kamati
Yanavutia mapambo
Napata picha safi
Litanikoma bundle
Mwanamke usafi
Gaga kulisugua
Mume akirudi sharti
Viatu kumvua
Kitandani marashi
Massage kumchua
Kisha anza sayansi
Viuno kutengua
Mambo ya kuzima taa
Si mahaba ni kuwanga
Washa japo ka mshumaa
Mumeo aone shanga
[Bridge : Rayvanny]
Eeeeh!
Makeup kinanda
Kaka suit kama mbunge (Anameremeta)
Mulo changa muda kujipooza na punje (Anameremeta)
Momo ndani Shivo amekuja na Fumbwe (Anameremeta)
Kula chanda ukishiba ruksa kafunge (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyeee)
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Eh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeee)
Iyena Iyena (Hhhmm)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Outro : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Saa nataka kusasambua (Sasambu)
Me nasasambua (Sasambu)
Aby Dad nasasambua mimi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Mguu moja juu (Sasambu)
Usishushe chini (Sasambu)
Cheza jitazame (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Aisha kimobitel (Sasambu)
Nipe za baloteli (Sasambu)
Nyonga kibaiskeli (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Akaa kama unashika ukuta (Sasambu)
Ifanye unashusha (Sasambu)
Taratibu zungusha (Sasambu)
Sasambua
Tuone
Sasambu! Sasambu! Sasambu!
Sasambua!
Tuone
Kama unawasha bajaji (Sasambu)
Imwagie na maji (Sasambu)
Tuwakomeshe vizazi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Hhhhmm!
Ah! Leo Chereko chereko
Mwanenu nimekuwa
Zile kuringa mideko itapungua
Ahsante mama ulinifunza nkajua
Baba kasema kuomba mwiko
Raha ya chumvi kununua
Tena si kwa nazi
Si hirizi za waganga
Kwa baraka za baba na mama
Tu na dua
Waambie paparazi
Pingamizi wenye viranga
Waliosema hayawi hayawi yamekuwa
Ooooh! Oh!
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana
Iyena Iyena (Aah ooh)
Iyena Iyena (Aah Iyeena)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 2 : Diamond Platnumz]
Ooh! Ndoa baraka
Ukipata ushukuru
Maana wanayoililia ni wengi sana
Kwetu talaka
Kuitoa ni kufuru
Nimefunzwa vumilia
Niushinde ujana
Ili kesho mahususi
Kusudi wasinong'one
Embu nichumu niringe washushuke
Na hii pete ya harusi
Nakuvisha waone
Wakale sumu
Wavimbe wapasuke
[Bridge : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Eeh!
Ati nashika nanga
Nteke nsichomoke ndani (Anameremeta)
Futa namba wablock vimada wa zamani (Anameremeta)
Sio vijembe vya kanga waziwazi mambo hadharani (Anameremeta)
Waliopanga mwenye nyumba kaja ndani (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena (Aah Eeeh)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Oh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeeena)
Iyena Iyena (Aah Eeh)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Verse 3 : Rayvanny]
Imefika tamati
Tulisubiri kitambo
Leo samaki
Kanasa kwenye chambo
Pongezi kwa kamati
Yanavutia mapambo
Napata picha safi
Litanikoma bundle
Mwanamke usafi
Gaga kulisugua
Mume akirudi sharti
Viatu kumvua
Kitandani marashi
Massage kumchua
Kisha anza sayansi
Viuno kutengua
Mambo ya kuzima taa
Si mahaba ni kuwanga
Washa japo ka mshumaa
Mumeo aone shanga
[Bridge : Rayvanny]
Eeeeh!
Makeup kinanda
Kaka suit kama mbunge (Anameremeta)
Mulo changa muda kujipooza na punje (Anameremeta)
Momo ndani Shivo amekuja na Fumbwe (Anameremeta)
Kula chanda ukishiba ruksa kafunge (Anameremeta)
[Chorus : DIamond Platnumz]
Iyena Iyena (Aah iyeee)
Iyena Iyena (Aah iyoyo)
Iyena Iyena
Kwaheri tutaonana (Eh! Kwaheri Baba Mama)
Iyena Iyena (Iyeee)
Iyena Iyena (Hhhmm)
Iyena Iyena
Ntawakumbuka sana
[Outro : Diamond Platnumz & Rayvanny]
Saa nataka kusasambua (Sasambu)
Me nasasambua (Sasambu)
Aby Dad nasasambua mimi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Mguu moja juu (Sasambu)
Usishushe chini (Sasambu)
Cheza jitazame (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Aisha kimobitel (Sasambu)
Nipe za baloteli (Sasambu)
Nyonga kibaiskeli (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
Akaa kama unashika ukuta (Sasambu)
Ifanye unashusha (Sasambu)
Taratibu zungusha (Sasambu)
Sasambua
Tuone
Sasambu! Sasambu! Sasambu!
Sasambua!
Tuone
Kama unawasha bajaji (Sasambu)
Imwagie na maji (Sasambu)
Tuwakomeshe vizazi (Sasambu)
Sasambua!
Tuone
POCHI NENE LYRICS BY RAYVANNY FT. S2KIZZY
Pochi nene pochi nene
wakizingua si tunakata umeme
nasema pochi nene pochi nene
siku hizi mjini misingi pesa sio masebene
Pochi nene pochi nene(yeah yeah)
wakizingua si tunakata umeme
nasema pochi nene pochi nene
siku hizi mjini misingi pesa sio masebene
vanny boy
pochi nene baada ya kuhustle
maana haituni bila ya kumwaga jasho
pochi nene mlinde demu wako
vocha nayo muonga sawa
na bei ya sim yako
i got love for my people sina kwele
i believe in God
baraka tele
mchawi karoge usifike mbele
mi napanda ndege
we kapande tembere
ping-wei-hai-shi
hadi najua na kichina (master)
puetro rico mama sita karia shina
al-ahabib omar bin hafidh
mzee wa vina dubai mafuta
mimi namiliki visima
Pochi nene pochi nene
wakizingua si tunakata umeme
nasema pochi nene pochi nene
siku hizi mjini misingi pesa sio masebene
Pochi nene pochi nene(yeah yeah)
wakizingua si tunakata umeme
nasema pochi nene pochi nene
siku hizi mjini misingi pesa sio masebene
pochi nene
inanukia mapene (yeah)
dada sikunyimi ka ukitaka useme
pochi nene,tunda lazima nimenye
ama nikifulia basi na wewe niteme
nishakesha ka bundi bundi
nishapigwa na vumbi vumbi(vumbi)
mara kondakta
mara machiga fundi fundi (yeah)
sa pesa ka kumbi kumbi
vishungi mitungi tungi
leo hanifa kesho hanita kundi kundi
husiseme we una mikosi
omba mungu mabo yawe kitu na box
na mwana umesugua choki
toka kijakazi mpaka nakua boss
walishanitesa mashosti
hata busu nililitafuta kwa tochi
kumbe dawa ya mpenzi ni noti
sasa nachagua mimi kwenye bedi au kochi
ping-wei-hai-shi
hadi najua na kichina (master)
puetro rico mama sita karia shina
al-ahabib omar bin hafidh
mzee wa vina dubai mafuta
mimi namiliki visima
Pochi nene pochi nene
wakizingua si tunakata umeme
nasema pochi nene pochi nene
siku hizi mjini misingi pesa sio masebene
Pochi nene pochi nene(yeah yeah)
wakizingua si tunakata umeme
nasema pochi nene pochi nene
siku hizi mjini misingi pesa sio masebene
TIPTOE REMIX LYRICS BY JASON DERULO FT RAYVANNY,FRENCH MONTANA
Derulo
Wine fa me darlin'
Way you move ya spine is alarmin'
Mi wan you just...
[Verse 1: Jason Derulo]
Big fat thang, overflowin'
Skin tight dress, couldn't hold it
Way too thick like it's swollen
Girl, you're too bad and you know it
When you drop down, lose focus
When that thing clap, that's a bonus
Mmm, that cake looking appetizing
Back pack full, that's a crisis
[Pre-Chorus: Jason Derulo]
Bring that body my way
Can't take it off my brain
Look like you do ballet (yeah)
[Chorus: Jason Derulo]
Hold tight when you tip toe
Shake something when you tip toe
No breaks when you push that back
Left, right, do it just like that
Hold tight when you tip toe
(Rayvanny)
vanny boy
chini chini chini chini
bady girl kakalia pini pini
tamu kama nini iko kwa ulimi
movie ya chumbani nipo kila scene
girl your body shape like cowl (dab)
i know you wanna drink with ballet
so go down show me the yoga
the sound of my voice controller (stop wet)
kavaa kavuu kawee
kaweka imeza,wakwe (wee)
ni raha kudo naye,kashika mkongojo wa mzee iii
[Pre-Chorus: Jason Derulo]
Bring that body my way
Can't take it off my brain
Look like you do ballet (yeah)
[Chorus: Jason Derulo]
Hold tight when you tip toe
Shake something when you tip toe
No breaks when you push that back
Left, right, do it just like that
Hold tight when you tip toe
[Outro: Jason Derulo & Soaky Siren]
Hold tight when ya..
Wine fa me, darlin'
Way you move ya spine is alarmin'
Mi wan you just wine fa me, darlin'
One-time, two-time for the DJ
Tip toe
tamu kama nini iko kwa ulimi
movie ya chumbani nipo kila scene
girl your body shape like cowl (dab)
i know you wanna drink with ballet
so go down show me the yoga
the sound of my voice controller (stop wet)
kavaa kavuu kawee
kaweka imeza,wakwe (wee)
ni raha kudo naye,kashika mkongojo wa mzee iii
[Pre-Chorus: Jason Derulo]
Bring that body my way
Can't take it off my brain
Look like you do ballet (yeah)
[Chorus: Jason Derulo]
Hold tight when you tip toe
Shake something when you tip toe
No breaks when you push that back
Left, right, do it just like that
Hold tight when you tip toe
[Outro: Jason Derulo & Soaky Siren]
Hold tight when ya..
Wine fa me, darlin'
Way you move ya spine is alarmin'
Mi wan you just wine fa me, darlin'
One-time, two-time for the DJ
Tip toe
FINE LYRICS BY SAFI MADIBA FT.RAYVANNY
Relax ,i got you
na nikikutouch i got it
so far i got it
she is so tiny,tiny anapita kila siku
ah mine mine
utamu wa murenda kwangu sikukuu
kichwa denda kwenye kichukuu
una marashi ya pemba
chumba karafuu
ah eh ,nikilenga nishike miguu
utamu wa murenda kwangu sikukuu
kichwa denda kwenye kichukuu
una marashi ya pemba
chumba karafuu
ah eh ,nikilenga nishike miguu
SIRI LYRICS BY RAYVANNY FT NIKKI WA PILI
[Verse 1 : Rayvanny]
Hhhmm
Nimeanza safari ya penzi na wewe usiikatishe (eeeh)
Mungu mwema baba Mbali atufikishe (eeeh)
Mi binadamu nakosea nikiteleza usiuzunike (eeeh)
Milele Mwanadada Nikifa Unizike
Kutoka kwenye Uvungu Wa Moyo Wangu
Natamka niwewee
Taswira pekee kwenye ndoto zangu mama
Mfariji pekee nikimwaga chozi langu mama (Niweweee)
Imenishinda siri Kifuani Mwangu (Aaaah aaah)
Nikupeleke Nyumbani kwetu Sheri eeeh
Ukawajue Na Ndugu zangu mama aaah
Unipeleke Nyumbani kwenu Bibi weweee
Nikawaone shemeji zangu mamaaa aaah
Siri Yanini (Siri)
Nini Maaana Yake oooh (Siri)
Siri ya niiini (Siri)
Nini hasara zake (Siri)
Siri oooh siri Mapenzi ya siri iiiiiiih
[Pre Chorus : Rayvanny]
Ooooh Mama lolooooh..!
Ooooh Mama lolooooh..!
Ooooh Mama lolooooh..!
[Verse 2 : Nikk Wa Pili]
Eeh Mama
Nipe Utamu kabla Ujatamka Usingizi
Si come Mpaka tukiamka Ni series
Kakonko twende kamara kibirizi
Mapaja Yake utamu Michirizi
Michepuko imenuna Imezila siri siri
Na wee ni kachumbali Mayonnaise Pili pili
Pili pili Manga Tunakilikili wanga
Kilimanjaro Nyumbani kwetu kisimili mwanga
Si mama Nikk Simama Wima
Siri Ya Mapenzi Nikufikishe kwa Kina
Umebeba beba
Mkungu Wa Muleba
Uchungu kama kwao wakajifungue leba
Umebeba beba
Mkungu Wa Muleba
Uchungu kama kwao wakajifungue leba
[Chorus : Rayvanny]
Ooooh Mama lolooooh..!
Mama lolo kwako sijiwezi
Ooooh Mama lolooooh..!
Sitoficha Mdudu Mapenzi
Ooooh Mama lolooooh..!
Mama lolooooh..!
Kwako sijiwezi
Ooooh Mama lolooooh..!
Mama loloooooo oooooh ooh
[Hook : Rayvanny]
Kwenye kamoyo mi sina (Siri)
Je nikutaje ka jina (Siri)
Wajue wenye fitina (Siri)
Jembe Nipo Nalima (Siri)
Basi Nawe Usifiche maaa.... (Siri)
Sema Watupishe naaa... (Siri)
Vichefuchefu Watapishe Naaa.... (Siri)
Penzi letu lisiishe m mi Na wewee..... (Siri)
[Outro : Rayvanny]
Owe owe oweoooo owe owe owaa
Owe owe oweoooo owe owe owaa
Siri Yanini (Owe owe oweoooo owe owe owaa)
Nini Maaana Yake (Owe owe oweoooo owe owe owaa)
Siri ya niiini (Owe owe oweoooo owe owe owaa)
Nini hasara zake (Owe owe oweoooo owe owe owaa)
MAKULUSA LYRICS BY RAYVANNY FT.MAPHORISA & DJ BUCKZ
Olalala olalala olalala olalala
Hehee Vanny Boy hehehe Vanny Boy
Kipotabo kama Daina hana shepu ya birika
She got the eyes from China
Hips from America
Eh my baby she’s fina she de rock designer
Eh twende chumbani tuwe na gizani
Nipige penzi la maina
Eh my baby I am feelin your somethin
And tonight I’m ready
Only you that I’m wantin aah
Njo tuchanganye zege
Simentina udongongo
Mwendo wako wa matege
Huko nyuma mgongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Otashe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela)
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Otashe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela) namelekoni
One love my lovee unconditional
Angekoti style original
Say what u need (my lover)
Baby wanna be (my lover)
Eh it’s you and me (my lover)
Baby can confuse (my lover)
The way you move your body oh
Ngawe tamusali oh ye
I wanna be your baby daddy oh
I wanna be your super mani oh
Come to meee (yeah) baby girl come to me
Abc baby come get the di…
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntakuneka shoni (hela)
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntakuneka shoni (hela) naemelekoni
Love the way you ride me like a stallion
Without you baby I no fit carry on
Baby you my (casta wee sanjali on?) eeh
All I want you to be is my companion eh
Versace gucci and dolce and gabana
Kapendeza kufananana
Nicki Minaj Karruchi na Vianna
Hawakupati kimwana
Sometin you give me that sometin
You know I want that sometin
kopelada sometin
Versace gucci and dolce and gabana
Kapendeza kufananana
Nicki Minaj Karruchi na Vianna
Hawakupati kimwana
Sometin you give me that sometin
You know I want that sometin eh
Kopelada sometin
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela)
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntakuneka shoni (hela) naemelekoni
Olalala olalala olalala olalala
PUSH LYRICS BY JASON DERULO FT.RAYVANNY
i have fun when i touch you
If i can touch you,before you walk away
there is fun when i touch you,
no more seperation you and i
push up baby and be close
queen of africa the one in my soul
nikikupata kwenye sita kwa sita mpaka majogoo
kelele,kelele
cheza taratibu bila kelele
nitakupandizi unegelele
so baby come down for me
CHALI YA GHETO LYRICS BY KHALIGRAPH JONES FT, RAYVANNY
Wahenga walisema kizuri hujisell, na Kibaya hujitembeza
So i be doing it well, ndo niweke chakula kwa meza
You thought i was faking an L, but me and my team we never
So now i be keepin it real, mpaka waniweke kwa jeneza
Hii hustle ndo bado nachapa, so hapo ndo bado utanpata
Si vako ni jasho imefungwa milango ndo sahii collabo matata
Nahamisha matha kayole, mi nampeleka runda
Siz ameshamada kole, na mi nishabai kanyumba
Ni hizi mangoma natunga, ni vile matime hubidi
Nachanganya rap na rumba, naiweka mpaka na mugithi
Nipige video muone kwa Tv, nishike Nairobi pia na jiji
Akili ni nywele na zangu wacha tucompare, tuona nani gwiji
Buda alidedi akaniacha solo, Kashindwa njia gani ntafollow
Nikaanza kuslang makoro, nikaanza kuvaa magoro
Nikaacha kujam na sorrow, nikaanza maslang za yolo
Nikaanza kuhang na collo, Nikaanza kukam na mchoro
Nishalala njaa mvua jua lanichoma... aaaaaah
na kunyanyasika kwa mtaa daileiyeiye... aaaah
sichoki kutafuta nami mola ataniona... aaaaaah
hata nikisota ntazishika one dayiyeiye... ohnanana!!
Eeeeeh chali ya ghetto eeeh... oh nanana!!
Kufika juu inafaa ujitahidi, mziki kazi kwangu inanfaidi
So i dont care what they claim Im here, This what i do when i hold it down for my city
Tabidi wajue ni si ndo mabigi, and am feeling sorry for those who say ati usanii hailipi
Kila siku ya wiki napiga mziki, ju ishanipea kicki
Na mi sikufichi mi siridhiki, mpaka mali nimiliki
So nataka manoti zijae, kwa poti nijenge maploti
ju mimi ni star
Dodoma, Nairobi nilipishe kodi Nakuru to Moshi, Malindi to Dar
Hata ka hunitaki we! ombi langu ni we uwe na happy day
Hapa mambo ni safi we, chuki kwani itakupeleka wapi we
So, The OG just roll up, with a couple niggaz and soldiers
Nobody cant control us, we blowing over them borders
Cant stop until its all over, Wait a minute... hold up!!
Them praises go to Jehovah, them praises go to Jehovah
Nishalala nje mvua jua lanichoma... aaaaaah
na kunyanyasika kwa mtaa daileeiyeiye... aaaaaah
sichoki kutafuta nami mola ataniona... aaaaaah
Hata nikisota ntazishika one daiyeiye... oh nanana!!
Eiyeeeeh Chali ya ghetto... eeh... oh nanana
eiyeeeeh chali ya ghetto... eeh... oh nanana
End!
So i be doing it well, ndo niweke chakula kwa meza
You thought i was faking an L, but me and my team we never
So now i be keepin it real, mpaka waniweke kwa jeneza
Hii hustle ndo bado nachapa, so hapo ndo bado utanpata
Si vako ni jasho imefungwa milango ndo sahii collabo matata
Nahamisha matha kayole, mi nampeleka runda
Siz ameshamada kole, na mi nishabai kanyumba
Ni hizi mangoma natunga, ni vile matime hubidi
Nachanganya rap na rumba, naiweka mpaka na mugithi
Nipige video muone kwa Tv, nishike Nairobi pia na jiji
Akili ni nywele na zangu wacha tucompare, tuona nani gwiji
Buda alidedi akaniacha solo, Kashindwa njia gani ntafollow
Nikaanza kuslang makoro, nikaanza kuvaa magoro
Nikaacha kujam na sorrow, nikaanza maslang za yolo
Nikaanza kuhang na collo, Nikaanza kukam na mchoro
Nishalala njaa mvua jua lanichoma... aaaaaah
na kunyanyasika kwa mtaa daileiyeiye... aaaah
sichoki kutafuta nami mola ataniona... aaaaaah
hata nikisota ntazishika one dayiyeiye... ohnanana!!
Eeeeeh chali ya ghetto eeeh... oh nanana!!
Kufika juu inafaa ujitahidi, mziki kazi kwangu inanfaidi
So i dont care what they claim Im here, This what i do when i hold it down for my city
Tabidi wajue ni si ndo mabigi, and am feeling sorry for those who say ati usanii hailipi
Kila siku ya wiki napiga mziki, ju ishanipea kicki
Na mi sikufichi mi siridhiki, mpaka mali nimiliki
So nataka manoti zijae, kwa poti nijenge maploti
ju mimi ni star
Dodoma, Nairobi nilipishe kodi Nakuru to Moshi, Malindi to Dar
Hata ka hunitaki we! ombi langu ni we uwe na happy day
Hapa mambo ni safi we, chuki kwani itakupeleka wapi we
So, The OG just roll up, with a couple niggaz and soldiers
Nobody cant control us, we blowing over them borders
Cant stop until its all over, Wait a minute... hold up!!
Them praises go to Jehovah, them praises go to Jehovah
Nishalala nje mvua jua lanichoma... aaaaaah
na kunyanyasika kwa mtaa daileeiyeiye... aaaaaah
sichoki kutafuta nami mola ataniona... aaaaaah
Hata nikisota ntazishika one daiyeiye... oh nanana!!
Eiyeeeeh Chali ya ghetto... eeh... oh nanana
eiyeeeeh chali ya ghetto... eeh... oh nanana
End!
CHUMA ULETE LYRICS BY RAYVANNY
Nahisi nina bahati mbaya kipi nilicho koseya
Nikijaribu kutafuta shida ndo zinakolea
Mifukoni hali mbaya sio kama najitetea
Ile pesa ya kusuka mbona nilikuletea
Mawazo yani yananikolea
Nikupe nini usijepotea
Ndubura yani inanyong’onyea
Lilinde penzi lisije teketea
Vitunguu mboga za majani laki tano kwenye genge
Nyama tu nikupe million kwani unapika kenge
Si jana tu nimelipa pochi na doti za vitenge
Na si ndo juu ulivyojumua kama una duka mwenge
Chuma ulete we ni chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Kwani nakubadili jina ninakuita Chuma Ulete (x2)
Pesa sio nguvu za milundi kunyenyua jiwe juu chini
Tukitoka unakuja na kundi garama zote juu yangu mimi
Unanasa pesa kama gundi sasa mimi nitumie nini
Kila siku kushona kwa fundi kama mpambaji wa shuli
Eti nguva inaita mara mapande sita
Ushazali umeshika hakuna fashion inakupita eeh
Juzi ulikunja ndita wataka mchele tandi sita
Mama mbona unanitisha kwani unafotulisha
Mawazo yani yananikolea
Nikupe nini usijepotea
Ndubura yani inanyong’onyea
Lilinde penzi lisije teketea
Vitunguu mboga za majani laki tano kwenye genge
Nyama tu nikupe million kwani unapika kenge
Si jana tu nimelipa pochi na doti za vitenge
Na si ndo juu ulivyojumua kama una duka mwenge
Chuma ulete we ni chuma ulete
Usiwe chuma ulete
Kwani nakubadili jina ninakuita Chuma Ulete (x2)
UNAIBIWA LYRICS BY RAYVANNY

(Verse 1)
Usidate na njonjo za mapenzi
Vicheko bandia Usoni Kudeka Kumbe Ana pretend
Maufundi toka Tanga na Zenji
Vionjo Mitego Unase ashike pochi Umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi Kama Uko peponi
Mtoto Sauti Kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna Karanga
Hutaki hata Aende Sokoni
Anakuchuna Mafaranga Unabaki Na Vumbi Mfukoni
(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweetheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs
(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
(Verse 2)
Kuna Kina Rose Visosa
Wale Wapenda Verossa
Ukipita Na shati Na Moka
Lazima Watashoboka
Wakiomba Lift Ogopa
Miguu dashboard Vishoka
Mchunguze cheni Goroka
Nywele Na pochi kakopa
Eh
Usije Kuyavamia Yasije Yakakutesa Hawachelewagi Kukimbia
Kuna Wenzako wanalia walizani Mapenzi pesa Kwenye Suruali Vibamia
Hata Ukimuonga Ferrari Hatokuona Rijali
Wakati chumbani we Beki Ukifunga Moja Tu chali
Atakamatwa Na mangangali
Vijana Machachali
Hawachagui sehemu Ya Vita Uvunguni Na juu Ya Dali
(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweartheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs
(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
(Bridge)
Unadhani Niwapekeako
Kumbe wengine Wameshaweka Kambi
Kakupendea Macho
Wapo wengine kawapendea Rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui Taka dereva Mpe Ganji
Wakubadili sample
Akila Mihogo Karoti Hazipandi
(Chorus)
Unaibiwa Unaibiwa
Unaibiwa Unaibiwa
ZILIPENDWA LYRICS BY WASAFI ARTISTS
DOWNLOAD SONG
INTRO
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, zanguro mapepe kalee
Zilipendwa
(Rayvanny)
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati,
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)
(Rich Mavoko)
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)
(Queen Darleen)
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)
(Harmonize)
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)
(Maromboso)
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
(Lava Lava)
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela (zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)
Instrumental
…wasafi…
Outro
(Zilipendwa*4) olelelilelelile zilipendwa
INTRO
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale,
Ohh, zanguro mapepe kalee
Zilipendwa
(Rayvanny)
Eeh kizamani, kutoa kadi na maua (zilipendwa)
Wanataka mali,ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikamua(zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo, wanataka mikakati,
Ukiwa mzogaji,hakya mungu huwapati,
Mapenzi ya video yanakutoa kamasi,
Eti nikinywa maji, nakuona kwenye glasi (zilipendwa)
Eeh kupiga chabo ghetto (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Konno na detto (zilipendwa)
Sunche na kapetio (zilipendwa)
Manje na mobeto (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Mmmhh Boringo ndomboro (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa morogoro (zilipendwa)
(Rich Mavoko)
Mtaani sipati, skari guru kabisa (zilipendwa)
Ivi yuko api ,mb dogo wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifaa (zilipendwa)
Sikuiz party, hatuendagi kabisaa (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu Nyerere (zilipendwa)
Asha ngedere (zilipendwa)
Alusi mabele (zilipendwa)
Eeti uuze nyumba, ueke heshima bar
Eeti mlazimishe alokukataa
Sabuni kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya sinema (zilipendwa)
Lipumba na mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Wakina Soggy doggi (zilipendwa)
Chaneli ya analogi (zilipendwa)
Movie za cyborgi (zilipendwa)
Van Damme Arnoldi (zilipendwa)
(Queen Darleen)
Unanibeeb nikupigie, umeiweka vocha?
Ule weewe nilipe mie, umeniona lofa?
Teena na madada wenye, majina acheni visss
Unaitwa ukale dinner, mnakwenda tisaa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Mmhh Amita Bachani (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvanny (zilipendwa)
Zari Ivanny (zilipendwa)
(Harmonize)
Ya nini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala chapati, kwa mahindi au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia,una kamati (zilipendwa)
Ooh yarabi masikini, kunidhihaki
Aah Samba mapangala (zilipendwa)
Pfunk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Lufufu Mkandalal (zilipendwa)
Vyanini vidomodomo, nitupieni tunguli
Kisa pesa za mgomo, msimu wa magufuli
Aah Bongo man yondo (zilipendwa)
Skinde msondo (zilipendwa)
Magari ya udongo (zilipendwa)
Babu wa loliondo (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Aah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina mandojo (zilipendwa)
Gigi ya lyobo (zilipendwa)
Akina tupogo (zilipendwa)
(Maromboso)
Eeti ni msiba ukiona bundi,unataka kupagawa
Tulale makundimakundi, kuogopa popo bawa
Zueena, ntampata wapii (zilipendwa)
Zueena, na zile nyakati (zilipendwa)
Kujifanya mapanga zuna, ati wamebinga
Wengine wabeba mapanga, na hakuna marinda
Iddi amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H. Baba (zilipendwa)
Domo chai jaba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
(Lava Lava)
Wale wapiga madeal, sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za magufuli, si za jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.nicena dudu baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madonge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr.bean wapi Bl bambo
Wale watazamaji wa melini wazee wa ng’ambo
Vifiu vywa vibenjamini wa mambo jambo
Wa Vietnam wa porini vita na rambo na dam jela jela (zilipendwa)
Kidali komborera (zilipendwa)
Max zembwela (zilipendwa)
Juma nature na fella (zilipendwa)
(Diamond)
Ooh, izo ni zama za kale, oooh, sanguro mapepe kale
Mmmh Kama ndala si mda (zilipendwa)
Almanzira ndumba (zilipendwa)
Simu za dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)
Instrumental
…wasafi…
Outro
(Zilipendwa*4) olelelilelelile zilipendwa
ZEZETA LYRICS BY RAYVANNY
Download audio
Baby mooh nifanye big G unitafune
Ama niwe sindano nawe uwe uzi nguo nifume
Ama niwe ndoo uwe maji yangu unawanume
Nifanye kucha kama ukiwasha mi nikukune sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikiku beep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta
Mama sitaki paka na panya vita za nyingi
Mi nataka niwe mafuta ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini ukioga ninakufuta
Kutoka juu mpaka kwa chini mashallah
Ulivyo mwenzako taabani naishi muchumba siendi varandani
Tena sikufanyi vocha soko dukani
Nikutumie muchumba nikutupe jaralani sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikikubeep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Mi nataka niwe mafuta ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini ukioga ninakufuta
Kutoka juu mpaka kwa chini mashallah
Ulivyo mwenzako taabani naishi muchumba siendi varandani
Tena sikufanyi vocha soko dukani
Nikutumie muchumba nikutupe jaralani sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikikubeep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta (x2)
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta (x2)
Mashilawadu wana nyapia nyapia
Mashilawadu wana nyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu kwa kudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupagazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuwa makini mama eeh eeh
Mashilawadu wana nyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu kwa kudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupagazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuwa makini mama eeh eeh
NIKUMBUSHE LYRICS BY BAHATI AND RAYVANNY
DOWNLOAD SONG
PAKUA WIMBO
(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2
Leo nyota imeng'aa
nasahau nilikotoka
naidharau mitaa
na mateso niliyosota, aie
ndugu zangu kinyaa
mafukara wananichosha
niache wafe na njaa
nijisifu nitawanyosha eh
sili kwetu kisumu bondo,
chakula haina swaga,
sitaki kula chapo dondo
nataka pizza na buger ehh,
uniepushe maulana nisiishie njiani,
unikumbushe ya jana, kesho nipe dhamani
kwenye maisha ya muziki, ukiwa na uendo utaishi
Timu hazijengi urafiki, tusije kuuana kwa kugombania viti
eti nimuache mama kwenye dhiki, kisa mambo yangu yametiki
akipiga simu siishiki, nikipokea nimwone kama shabiki
(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2
nimejawa na kiburi, ukweli haupo nami,
alionifunzage dini mama, simwiti mummy,
roho imejawa na uhuni, star najiona mi
nikipita na kagari vumbi , natupia wadhee
niwe kama peter, kumkana yesu mara tatu nikumbushe
niwe kama jonah, kukataa kutumwa nineveh nikumbushe
ah mwanabujah alionipa suporti, namtusi ilimradi iwe kiki
walionipa jina mashabiki leo, nawaona wanafiki
(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2
MBELEKO LYRICS BY RAYVANNY
Mmmmh
ulisemanga dunia ina mapambo yake eeh
ukiacha majumba pesa magari ni wanawake eeh
nimezunguka aah, nimefika kwake eeh
siwezificha nimeshanasa
kwa pendo lake eeh
halabaani
kakuumba kimwana ,mwenye sifa ya upole
ata mama kakusifu sana,kitofauti na wale (wajane)
kule nilizama tafadhali niokoe
mamamaa unipulize nipoe
(we ndo my queen baby my only
sitopenda uende mbali one day )x2
(unaficha mbele kwa ajili yako,
jiachie tu nikubebebe)x2
we ndogo mtoto me nakubembeleza
jiachie tu nikubebe eeh
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
kuthi hhuu! [feel pressure of the Air (Spirit)] Zonke ezam Xa zibuya uzozibona [When My squad returns you’ll see] Banomoya. [They a...
-
Ekoti te ( you missed the shot). Dj Mopao frontiere ya liwa, kanga foto (Dj Mopao the border of death, take a photo) Tutu Roba Ve...
-
Where to go I do not know Looking for answers why I do not know You are no longer listening You are no longer interested You are ...