Showing posts with label BONGO. Show all posts
Showing posts with label BONGO. Show all posts

PACHA WANGU LYRICS BY RICH MAVOKO


When I wake up in the morning
  (In the morning, in the morning)
Assume nikiss mdomoni
  (Mdomoni, mdomoni)
Nalala na picha kitandani
  (Kitandani, kitandani)
Mapenzi yananiumiza moyoni
  (Moyoni, moyoni)
We ndo pacha wangu mrithi wa bibi
Utu na visa vyangu vyote nakukabidhi
Hivi ni mama unaniumiza, usiku ukipiga simu uku unajiuliza
Naskia umeolewa nitaleta zawadi, tunza heshima isiwe mradi

  (CHORUS)
Eeehhh
I love you baby baby
I love you baby baby
Japo shida inabidi nizoee
Sina budi nizoee ×4

Ufinyu wa shilingi kwangu, shimo unaliona
Ukatili wa mapenzi yangu, kwa shibe ya dona
Kila siku nasali, namwomba mola mja nilinde na hali najua unaniona
Nishaulizwa sana weehh, hayaa hawaoni tukiongozana wee hayaa
Pacha tusiofanana mimi na we, hayaaaaaah
Kumbe we ndo pacha wangu mrithi wa bibi
Utu na visa vyangu, vyote nakukabidhi
Hivi mama unaniumiza usiku

  (CHORUS)

Oooh eeehh mavoko
Oooh baby yoooh
Oooh baby yoooh
Bila wewe I'm ready
Oooh baby yooh

DEDE LYRICS BY LAVA LAVA


VERSE I
niamini eh mimi mwingine sina darling
na sikufunzwa mbaya tabia
mahaba niuwe mimi kwako chali chali
ndani donda funza nishagajifia
borakukueleza imenishinda siri
we ndo umeniweka kiganjani
na nikiteleza unikoshe na mwili
chonde usije nieka visangani

nawe chunga kauli zinaponza
zitafanya tuwe maadui maadui
kinywa tia kufuri na macho fumba
usije kutamano mabedui
mabedui iii

chorus
dede dede
simama wakuone you are my number one
dede dede
sitaki mwingine you are my only one
dede dede
simama wakuone you are my number one
dede dede
mi sitaki mwingine you are my only one

verse 2
natamani makosa yasingekuwepo
tusikosanaoh baby yoyo
na samahani ingekuwa kama kichekesho
tuchekeshane eeh
oh bila choyo
naweka wazi shahidi moyo wangu
we ndo fundi wa raha zangu
kachumbari uzandu uzandu kwako bwelele
mkuna nazi mwali kwa matandu
mi pweza na ngurupandu
unavyomix na chachandu sinaga kwere

basi chunga kauli zinapoza
zitafanya tuwe maadui maadui
kinywa tia kufuri na macho fumba
usjie kutamani mabedui
mabedui iii

chorus
dede dede
simama wakuone you are my number one
dede dede
sitaki mwingine you are my only one
dede dede
simama wakuone you are my number one
dede dede
mi sitaki mwingine you are my only one

NITAKUKUMBUKA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ

Verse 1
Ooooh
Ah
Ale tate tate
Ah
Kinachoniuma ni mazoea
Kunifanya nikeshe usiku na mchana
Ah
Au mate au mate
Ah
Mbele na nyuma nikingojea
Huenda ikabadili mfupa kuwa nyama
Ooh siri yangu siri
Bado natunza iwe yangu
Siri yangu
Japo kuwa natamani kusema
Wachache
Bado naisubiri
Mola hajanipa zamu yangu
Aah
Huenda utanikumbuka siku unifuate
Ah
Moyo kama nguo ukausasangua
Kwa moshoga zako
Ukaacha funguo
Kwa kujishebetua ukaenda zako
Moyo kama nguo ukausasangua
Kwa moshoga zako
Ukaacha funguo
Kwa kujishebetua ukaenda zako

Chorus
Aah
Rudi mama eeh
Nakukumbuka
Nakukumbuka eeh
Nakukumbuka
Mwenzako silali eeh (x4)

Verse 2
Ah
Niacheni mie
Kinachoniuma ni mazoea
Mie
Siwezi kuficha nimekuzoea
Mie
Kinachoniuma ni mazoea
Mie
Siwezi kuficha nimekuzoea
Hali yangu si shwari
Mda wowote huenda naja (huenda naja)
Fanya uje na daktari
Tena ikibidi waganga (waganga)
Na matafuta hodari
Kutoka binga na tanga
Wale nguli machachali
Wapiga ndele kwa vanga
Ooh ooh
Hizi furaha za duniaa
Mamaaa
Ziko tangu vile iliaa
Mamaaa
Njoo nakusubiriaa
Mamaaa
Ona hata nakuimbiaa
Mwenzako silali

Chorus
Aah
Rudi mama eeh
Nakukumbuka
Nakukumbuka eeh
Nakukumbuka
Mwenzako silali eeh
(x4)
(x2)

NATAKA KULEWA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ


We niache niende niende! niende niende!
Niache niende niende, niende niende!

(verse1)
Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenikaa moyoni

(chorus)
Leo nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage ardhini
Nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage ardhini
We niache niende niende!, niende niende!
Niache niende niende, niende niende!

(verse2)
Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
Kukata vilimi limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
Kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu unajisumbua
Si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga
Oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenijaa moyoni

(chorus)
Leo nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage ardhini
We niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
Niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]

KOSA LANGU LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ

VERSE 1
Barua yako ulioituma kwa recab docomo nimeisoma
ila nimechelewa kuijibu sababu moyoni imenichoma
niliyoyategemea tofauti na nlicho kiona
hata naandikia hii barua huku royo yangu inansonona
umesema nchane nguo,hiyo funguo umeirudisha sawa,
simu niziekee kituo,na sio chaguo,nikome kabisa sawa
umesema hata ile picha nzuri nlokukumbatia nifute sawa
ila kinacho niumiza mbona moja umeseahau
kosa langu kosa langu hujanambia
donda moyo ndani yangu, naumia
kosa langu kosa langu hujanambia
donda moyo ndani yangu, naumiaaaaa
umekuwa kama ndoto,faraja moto ila hujaliona
naponda mpaka kokoto, napata msoto,inaniuma
ona yule,na pesa ulimpatia, kiwanja ukamnunulia,na gari ya kutembelea,akakumbia
yule,na pesa ulimpatia, kiwanja ukanunulia,na gari ya kutembelea,akakumbia
Mbona ukanichimbia kaburi ningali bado mzima
nife nizikwe vizuri nipotee kabisaa kimyaa
licha matendo mazuri upendo na heshima
watu wakachochea tanuri ukachoma wangu mtima

VERSE 2
natamani hata ngepata nafasi muda wakati kukutazama
unione hata japo sura unitazame macho yangu
mwenzako himili limenipiga kasi
uliyonitendea yananiumiza nafsi
ulinichoma mwiba wa koo
kukuruduia naona sooooooo
mwenzako hili limenipiga kasi
uliyonitendea yananiumiza nafsi
ulinichoma mwiba wa koo
kukuruduia naona sooooooo
umesema nchane nguo,hiyo funguo umeirudisha sawa,
simu niziekee kituo,na sio chaguo,nikome kabisa sawa
umesema hata ile picha nzuri nlokukumbatia nifute sawa
ila kinacho niumiza mbona moja umeseahau
kosa langu kosa langu hujanambia
donda moyo ndani yangu, naumia
kosa langu kosa langu hujanambia
donda moyo ndani yangu, naumiaaaaa

UNAIBIWA LYRICS BY RAYVANNY

 
(Verse 1)
Usidate na njonjo za mapenzi
Vicheko bandia Usoni Kudeka Kumbe Ana pretend
Maufundi toka Tanga na Zenji
Vionjo Mitego Unase ashike pochi Umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi Kama Uko peponi
Mtoto Sauti Kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna Karanga
Hutaki hata Aende Sokoni
Anakuchuna Mafaranga Unabaki Na Vumbi Mfukoni

(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweetheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs

(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!

(Verse 2)
Kuna Kina Rose Visosa
Wale Wapenda Verossa
Ukipita Na shati Na Moka
Lazima Watashoboka
Wakiomba Lift Ogopa
Miguu dashboard Vishoka
Mchunguze cheni Goroka
Nywele Na pochi kakopa
Eh
Usije Kuyavamia Yasije Yakakutesa Hawachelewagi Kukimbia
Kuna Wenzako wanalia walizani Mapenzi pesa Kwenye Suruali Vibamia
Hata Ukimuonga Ferrari Hatokuona Rijali
Wakati chumbani we Beki Ukifunga Moja Tu chali
Atakamatwa Na mangangali
Vijana Machachali
Hawachagui sehemu Ya Vita Uvunguni Na juu Ya Dali

(Pre Chorus )
Ukiwa Na pesa Utasifiwa Kitambi
Baby Me I like that
Nakukupamba Kwenye Simu Video Snapchat
Kumbe Hana Maana Hadi Mangi
Anamwita Sweartheart
Kisa Anakesha Gym kutafuta Six packs

(Chorus )
Unaibiwa!! Unaibiwa!!
Unaibiwa!! Unaibiwa!!

(Bridge)
Unadhani Niwapekeako
Kumbe wengine Wameshaweka Kambi
Kakupendea Macho
Wapo wengine kawapendea Rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui Taka dereva Mpe Ganji
Wakubadili sample
Akila Mihogo Karoti Hazipandi

(Chorus)
Unaibiwa Unaibiwa
Unaibiwa Unaibiwa

NISHACHOKA LYRICS BY HARMONIZE

 
yeeeaahhh
mmhhh mmhm eeeaa

kila chenye maremu na mpama hua hakikosi mwisho
(oohhoo mwisho)
ya nini kurumbana kukicha bila suruhisho
(ooohhh ouuuuu)

huenda kisicho ridhiki hakiliki sa yanini tutoane roho
nimepungukiwa kipi mbona naishi
sina hata jibalaa ohhhh

na ule utwana wa mapenzi kushindana mi na wewe
nliuvumilia nasijaona tamaa ooohhh

sio kama siwezi kupata aliye zaidi ya wewe
ila hai duna najichunga sana

tena naandika huu wimbo usijipe moyo labda nakufikiria
nataka iwe fimbo  mwenye sura ya choyo ukome kunifatilia
nataka iwe fimbo   mwenye sura ya choyo

nishachoka
nishachoka
nishachoka
wacha ukweli nkwambie

kukicha vijembe … dharau maneno … uuu masimango   nimechoka ohhhhh