Showing posts with label SALAMU TMK. Show all posts
Showing posts with label SALAMU TMK. Show all posts

MFUKO LYRICS BY SALAMU TMK


We mama wakufikia husimzalishe baba,x2
Kiatu kimefumuka kimefumuka fungu fumux2
We mama mdogo mwonee huruma baba,
Unataka babucha (eh babucha)
We mama mdogo mwonee huruma baba,
Kila zuri analofanya baba mama unapiga,
Yote ya dunia sote tunapita,

We kenua eh eh eh eh 
We kenua oh oh oh o
(We kenuax2)
 dawa yako inachemka,x2

unapenda mfuko kuliko mapenzi ya ndani ya moyo
unajifanya huoni hadi nirudi mpaka moyox2

ai yo yo x2 naendea msaada mie
ai yo yo x2 nikavunje ngazi mie 
ai yo yo x2 naenda kwa baba mie 
ai yo yo x2 nikavunje ngazi mie 

mhn,ningependa we ujue ,hii dunia ina mwisho,
ukipenda upende kweli husiwe unapenda mfuko
tena ukae utambue,kila mtu ana moyo na roho
unavyofanya si vizuri mtu mzima wewe ,

baba we x2 wanao tumeshaona,
we baba x2 mwenzako atakuua x2

nakonda kama pundamilia,nachapwa naishia kulia,
bila sababu nanyimwa chakula ,baba unaangalia
mama wa kambo anapika kama mgambo,ah ah,
(pili jina langu linafifia,oh oh ,
mama ananiita kinyoka mdimu)x2

anatamba kwa rafiki zake,
anasema ye gusa unase,eh eh 
na kuna mengi anaongea,
umri wako anaujua anasema anafuata uridhi,
eh baba wanao sisi tunaonewa
umri wako anaujua anasema anafuata uridhi,
eh mama wa kambo,

unapenda mfuko kuliko mapenzi ya ndani ya moyo
unajifanya huoni hadi nirudi tena mpaka mwanzo

unapenda mfuko,unajifanya huonix2 





 
 
  
 
 








 
  
 

NAFSI LYRICS BY SALAMU TMK (MKUBWA NA WANAWE)



Verse 1
(osama) Shirko ,mkubwa na wanawe nipe fursa niseme,
Osama mkubwa na wanawe nipe fursa niseme,

(chorus)

(podo) Nafsi imenituma mie niseme x2

(osama) Siku hizi hakuna ndugu ,
Imebaki midabwa ni midabwa,
Akupendaye ndugu huyo ,
awe mama awe baba sawa x2

verse 2
(star boy) 
familia yetu mikosi,
baba kapelekwa polisi,
tatizo nyumba ya uridhi naumia,
nashangaa tunapendana wakati wa raha ,
roho inaniuma tunatengana kwenye shida eh

verse 3
(abuuado)
 undugu wetu undugu wa sambusa,haukawi
kuzaliwa naye ,ananidharau,
(zuberi)
upendo gani kushoneana sanda,
 angali niko hai,
wanaochimba mashimo uingia wenyewe,

verse 4
(star mapozi) 
ninakumbuka mengi ,
aliyonihusia mama,
binadamu wabaya yani bora hufungi lawama
we mama nashukuru sana kuzaliwa Tanzania,
we mama nafurahi sana nami ninatia,

(chorus)
Verse 5
(fetty) 
Uu uu ah,
ahsante mwana shamba,
 kwa kumkumbusha bwana,
 kama mapenzi ni wanja basi nitapaka bwana ,
Namshangaa mjomba,
kwa kumdhulumu kiwanja,
ah ah eh

verse 6
(podo) nyumba ile ,baba Yule ,
kamfanya mwanawe msukule,
Apate mapesa mapesa ,
Apate mapesa achanue x2

Verse 7
(Kinyoka mdimu)
Hangekuwa baba yangu mie ,nisingeteseka,
Hangekuwa mama yangu mie ,nisingeteseka,
Hangekuwa baba yangu mie ,singeteseka,
Hangekuwa mama yangu mie ,singeteseka,
Ah nahuzuni  mie, ninateseka mie

(Chorus)
Cheza kinyonge, eh shingo upande eh x6