oh oh eh
tukiacha pweza
mtoto fundi umeniweza
husiniachie mchuzi wa pweza
kwenye kokoto nateleza
wachawi bado hawajaweza
penzi tunavyolisambaza
unataka nikupe nini
eh vitu vya asali
unataka nikupe nini
ingali
unataka nikupe nini
sina pa kulala nisipokuwa na wewe
sitopata raha,
Aaah nikupee ,nikupe
nikupe nini nikupe ah
Aaah nikupee ,nikupe
nikupe nini nikupe ah
Aaah nikupee ,nikupe
nikupe nini nikupe ah
Aaah nikupee ,nikupe
nikupe nini nikupe ah
No comments:
Post a Comment