NIMEKUZOEA LYRICS BY MBOSSO


Hujaacha tobo uliloniachi ni bonge la tundu
sina nyendo mama kaninunia nahisi gundu
nakunywa gongo najisaidia nguoni aibu
uu walongo kitanda changu ndio chooni
wee ndio sababu uh uh wewe sababu uh uh

buto mobimba na nzolela
naumia sana nimekuzoea
buto mobimba na nzolela
naumia sana mama
nimekuzoea ah
mmh ndoto za ajabu kichwani unakuja wewe
sura yako
nishasomewa bado vinasema wewe
nikifa maiti yako yee hee

( chorus )
aya aya aya aya
machozi hayataki kukauka
aya aya aya aya
kushoto kulia yashuka
aya aya aya aya
na machozi hayataki kukauka mama
aya aya aya aya

(aaah eeh ...eh)

utamu wa nanasi ghafla huwa mchungu sana
ukinywa maji
baby wangu wasiwasi nani kakuficha mama
rudi basi iiii
ah tajiri wa huzuni machozi kwangu bwelele
upepo wa firauni umemkumba ngedele
mfikoni mbuni vichenjichenji njenjere
namaliza sabuni mdomo koma kelele

buto mobimba na nzolela
naumia sana nimekuzoea
buto mobimba na nzolela
naumia sana mama
nimekuzoea ah
mmh ndoto za ajabu kichwani unakuja wewe
sura yako
nishasomewa bado vinasema wewe
nikifa maiti yako yee hee

( chorus )
aya aya aya aya
machozi hayataki kukauka
aya aya aya aya
kushoto kulia yashuka
aya aya aya aya
na machozi hayataki kukauka mama
aya aya aya aya

(aaah eeh ...eh)

1 comment: