nikiwa nikiyatafakari mapenzi najiona kama nina hatia
niko kifungoni na machoni haunioni,x2
labda niliumbwa niwe bachelor,
nisiwe na mpenzi kwajela*x2
naweza kuigiza nakupenda,nikakufanya kiini machoni,
ukaamini nakupenda,kwa mwingine siwezi kwenda,x2
huwezijua kilicho nadani ya mtu,
kama unachoelewa sana*na mimi ningesema hewala,
No comments:
Post a Comment